Mbunge Lwakatare: Hakuna mbunge asiyelewa, suala la Mbowe tusitie chumvi tusubiri ripoti ya vyombo vya uchunguzi

All Policemen are Form IV failures!!! The Majority of them ni Div IV za Mwisho kabisa au Div 0!!![emoji1787][emoji1787]
Usisahau vyeti vyao huko hakukufanyika uhakiki ndio maana wanaisaidia CCM kwa nguvu zote
 
Kweli
 
John siku izi unareflect jina lako
 
Issue si ulevi wa Mbowe bali ni kuteleza na kuanguka kwa ulevi wake wa Faru John halafu anasingizia eti kavamiwa na kupigwa
Mkapa naye enzi zake tena akiwa ikulu aliwahi kukumbwa na kazia hizi,watu wakasema kichapo kutoka kwa waifu wengine mara ulanzi ndio chanzo n.k
 
Mimi Namshauri Rwakatare arudi tu Chadema , anafaaa kuja kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee , aache hasira ......juzi nilimuona namna pale bungeni alivyokua anakosa raha mbowe alivokua anatukanwa na watoto kwa kuchochewa na spika ....hata spika akitaka kumchokonoa yeye naye aseme ....alimuita kumpa muda kabla hoja haijahitimishwa na mmassy , " mh rwakatare karibu na wewe utuambie ...." huku akiwa ameshika tama alikataa kuongea kitu .....na hata alipotoka nje pia alionekana mwenye mawazo sana .......ni vema kama alienda hadi kumsindikiza ni vema wayamalize wazeeke vizuri .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…