Tetesi: Mbunge machachari kutikisa siasa za Tanzania na kumwaga manyanga kabla ya Julai 24

Status
Not open for further replies.
Wewe kweli sio mke mwema. Yani unatoa sisi za mme wako hadharani. Jaribu kutunza siri za mmeo
 
ni furaha sana nyumbu mmoja akirudi kundini
 
Umesikia hao watu wanasema "Hapa kasi tu" Uelewe maana yake nini. Nani atakuwa na pesa mtaani?

Ha

Mkuu nakubaliana nawe. "Hapa kasi tu" inakamua maskini hadi shilingi ya mwisho. Mtaani hakuna pesa.

Mkuu wa nchi naye anajua hakuna pesa halafu anasema watu wafanye kazi, kazi zilizopo kwa sasa ni za u-DC,u-DAS,u-DED?

Lakini ili uzipate sifa yake lazima uwe kada wa CCM...
 
Mbowe: Kwenye mkutano wa 24 Julai tumepanga uongee, utapangiwa maneno ya kuongea
Mnyika: Nini? sitaki habari hizo

Salum Mwalimu: Si utaongea tu sheikh yaishe ...
Mnyika: Nimesema bradha siongei

Mdee: Mnyika usiongee kwa kulazimishwa kama zuzu
Mnyika: kimya

Mbowe: John unatikisa kiberiti?
Mnyika: kimya

Lowassa: Kama hatayaongea maneno niliyowaelekeza basi mimi nitaondoka.
Mnyika: huku akisonya anasema "Basi mimi nitaongea kabla ya 24 maneno yaliyo moyoni mwangu ili 24 na nyie muongee yenu"

Wote: Basi basi Mnyika usiongee
Mdee: Mnyika sawa ongea kabla
Mnyika: Nimeishaamua nitaongea siburuzwi
Wote: Usiongee usiongee

Hii ni muvi mpya Bavicha wanauzuia mkutano wa CCM na Mnyika analazimishwa kuongea na kutoongea.
 
Kwani wameondoka wangapi mbona nchi haikutikisika?kwani yeye Mungu? Siasa ni sehemu ya maisha yakikushinda unapisha wengine na maisha yanaendelea.
 
Picha lemeanza.Sterling hajajilikana bado watu wanagues.Ndindindindi yoli ndi.....[emoji123][emoji818]
 
JF ikiwekwa post hata kama ni porojo nimejifunza kutoidharau kwani Mwishoni mwa Mwezi July 2015 mpaka trh 6 September 2015 nilijifunza mengi, nilikuwa mbishi kuwa DR. hawezi kuondoka CDM sasa haya ya Mnyika.........
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…