Tetesi: Mbunge machachari kutikisa siasa za Tanzania na kumwaga manyanga kabla ya Julai 24

Status
Not open for further replies.
Mkuu, asante kwa pole. Umeonyesha kujali.

Nasubiria mvua zianze kunyesha. Ila tatizo miti inakatwa sana. Naona jangwa tu. Mvua zitanyesha?
Hata hilo la usimamizi wa miti limeshindikana
 
Ccm mnahangaika sana, mwisho wenu 23 july
 
Aondoke tu aliondoka slaa nzito atakuwa yeye
 
uko sahihi,kikwete alikuwa anakuua uku anakuchekea!
 
Mimi siumwi wala cjalazimishwa kutoa tamko lolote.

Naendelea kuwatumikia wapiga kura wangu na sitegemei kubwaga manyanga.

Naomba muupuuze uzushi huu.
 
Yaani CCM mmeshamrubuni huyo kijana na kumtafutia shule akasome? Kweli usaliti mbaya sana
 
Sawa tu......
 
Aliondoka
Dk mihigo
Bado chama kilisimama
Kizuri zaidi
Huu sio wakati wa uchaguzi jimbo letu la kibamba lazima tushinde hata tukiweka jiwe
Mkuu tusubiri muda ndio unaongea....
 
Kwa mwanasiasa asie mnafiki ni vigumu sana kuwa chadema kipindi hiki
 
Reactions: nao
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…