the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Lindi kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Maimuna Pathan, amegawa Mitungi ya Gesi kwa Wanawake wa Wilaya ya Liwale kwa kuunga mkono juhudi za Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ya kutumia Nishati safi kupikia.
Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akiwa katika ziara ya kikazi Wilaya ya Liwale Mbunge Pathan alikabidhi mitungi ya Gesi 68 ikiwa Sehemu ya Kuunga Mkono Jitihada za Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Katika kuhakikisha Watanzania wanatumia Nishati safi yakupikia na kuondokana na Matumizi ya Mkaa au Kuni ambapo kwa kiasi kikubwa yanaharibu Uoto wa Asili au uharibifu mkubwa wa Maliasili.
Pathan aliwaomba Wanawake na viongozi mbalimbali kuendelea kuhamasisha matumizi ya Nishati safi ya kupikia kwa wananchi wote wa wilaya ya Liwale na Tanzania kwa ujumla.
Pia soma
Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akiwa katika ziara ya kikazi Wilaya ya Liwale Mbunge Pathan alikabidhi mitungi ya Gesi 68 ikiwa Sehemu ya Kuunga Mkono Jitihada za Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Katika kuhakikisha Watanzania wanatumia Nishati safi yakupikia na kuondokana na Matumizi ya Mkaa au Kuni ambapo kwa kiasi kikubwa yanaharibu Uoto wa Asili au uharibifu mkubwa wa Maliasili.
Pathan aliwaomba Wanawake na viongozi mbalimbali kuendelea kuhamasisha matumizi ya Nishati safi ya kupikia kwa wananchi wote wa wilaya ya Liwale na Tanzania kwa ujumla.
Pia soma