Mbunge Martha Mariki achangia Milioni 5 ujenzi zahanati ya Kajeje Kata ya Kanoge, Katavi

Mbunge Martha Mariki achangia Milioni 5 ujenzi zahanati ya Kajeje Kata ya Kanoge, Katavi

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi, Mhe. Martha Festo Mariki tarehe 24 Julai, 2023 amefanya ziara katika Kata ya Kanoge Mkoa wa Katavi na kukabidhi Shilingi Milioni tano (5,000,000) kwaajili ya kuchangia Ujenzi wa Zahanati Jengo la Mama na Mtoto katika Kijiji cha Kajeje Kata ya Kanoge.

Aidha, Mhe. Martha Mariki tarehe 24 Julai, 2023 amekabidhi Shilingi Milioni Moja (1,000,000) kwa Wanawake wa UWT Kata ya Kanoge (500,000) na Kata ya Katumba (500,000) ili kuwawezesha wanawake kiuchumi kama mitaji ya kuendeleza shughuli zao.

Aidha, Martha Mariki amefanya Mkutano wa Hadhara na pia ametembelea Ofisi ya Mkuu wa Makazi ya Katumba.

WhatsApp Image 2023-07-25 at 10.52.04(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-07-25 at 10.52.03(1).jpeg
 
Milioni tano nayo anataka aonekane ITV?
 
Back
Top Bottom