Mbunge MARTHA MLATA

Status
Not open for further replies.
Babu Ubwete karibu tena jamvini...........pole na majukumu..........na heshima mbele sana..........

Ahsante sana Ogah. hapa ni nyumbani lazima tupite japo mara ingine tunasoma tu na kuongeza maarifa, Mimi na Mke wangu bila kujijua wote ni active member wa JF maana kila anapobreak down issues naona zinafanana na JF
 
Babu Ubwete karibu tena jamvini...........pole na majukumu..........na heshima mbele sana..........

Ahsante sana Ogah. hapa ni nyumbani lazima tupite japo mara ingine tunasoma tu na kuongeza maarifa, Mimi na Mke wangu bila kujijua wote ni active member wa JF maana kila anapobreak down issues naona zinafanana na JF
 

Wanawake tunaweza tukuanza wenyewe. kweli usolikua litakusumbua, huyo dada amenufurahisha sana, japo story yake imenisikitisha. Mungu amfikishe mbali na hapo, na huyo Dr atamtafuta sikumoja.
 

Wanawake tunaweza tukuanza wenyewe. kweli usolijua litakusumbua, huyo dada amenufurahisha sana, japo story yake imenisikitisha. Mungu amfikishe mbali na hapo, na huyo Dr atamtafuta sikumoja.
 
Namtafuta huyu mama, naskia anapenda serengeti boyz. Mwenye contact zake aniPM
 

Chakula ya kubwa hiyo!
 

feel shy!!
 


Mwacheni mama wa watu unless kuna watu wanachuki binafsi na huyu mama.
 
Martha Mlata sio mbunge wa kuteuliwa na Raisi jamani bali ni mbunge wa viti maalumu mkoa wa singida, lete accurate data jamvini sio ushabiki na hisia mzee
 
Im Missing Martha Mlata jamani mbona simsikii bungeni?
 



vp mamaa sugu hajambo? Anachapa kazi? Mpe hi sana
 

hawa ndo wanapata 'degree za chabo' af badae wanakuja kutangaza nia
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…