Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Ile ya wapinzani watetereke by Zuchu haiwezi kukosa.Lifundishe historia ya jinsi mabeberu yamekuwa yakitulaghai na kutuibia mali zetu, somo hilo liambatane na nyimbo za kizalendo🤣
Swali ni kwamba je hakuna watu kutoka China ,Korea ,Japan,Russia,France,Arab countries wanaofanya kazi UN? Unazijua lugha rasmi za umoja wa mataifa?Alafu cha ajabu hizo nchi zinazosema tutumie lugha ya kiswahili wao wanawahamashisha watoto wao kutumia kiingereza na kiswahili inakuwa kwa wanasiasa wachache ambao wanatumia kubebea sifa na kupumbaza Tanzania watoto wao wasipate maarifa ya lugha ya kiingereza Ili nchi zao ziwe juu ziteke fursa zote, imagine tunataka kuuza bidhaa nje na hatuna jina kubwa Kama nchi zingine uandike kiswahili chako Nani atanunua?
Nijambo zuri sana ilo tena history ya kiingereza tuifuteHahaaaa! Naona jiwe amelengwa kimtindo. Eti tuanzishe somo la Historia kwa Kiswahili kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha sita.
Upunguani mkubwa huu.
History ni uchumiWatanzania wanaidharau Sana somo la Historia!!
Mimi binafsi naliheshimu Sana na Kama ningepewa nafasi ya kufanya maamuzi katika sekta ya Elimu basi KISWAHILI kingekuwa lugha ya kufundishia kuanzia awali mpaka vyuo,kingereza kingekuwa somo tu!pia somo la HISTORIA kingekuwa la lazima kwa kila ngazi ya Elimu!!
Utajuaje ulipo na unakoenda Kama hujui ulikotoka??!!!!
How would you know what is if you don't know what was???!!!!
Kwenye hili MWENDAZAKE NAMUUNGA MKONO BILA HAYA🙄🙄
Swali ni kwamba je hakuna watu kutoka China ,Korea ,Japan,Russia,France,Arab countries wanaofanya kazi UN? Unazijua lugha rasmi za umoja wa mataifa?
Kwenye SADC Kiswahili kimeongezwa,rejea hotuba ya mwenyekiti wa sasa Felipe Nyusi tupiganie kikubalike UN utaona Maendeleo..lugha rasmi za umoja wa mataifa ni Kiingereza, Kifaransa, Kiarabu, Kichina, Kirusi, na Kispaniola.
..lugha rasmi za sadc ni Kiingereza, Kifaransa, na Kireno.
Kwenye SADC Kiswahili kimeongezwa,rejea hotuba ya mwenyekiti wa sasa Felipe Nyusi tupiganie kikubalike UN utaona Maendeleo