Mbunge Mavunde Aahidi Ujenzi wa Kivuko Kinachounganisha Kata ya Msalato na Miyuji

Mbunge Mavunde Aahidi Ujenzi wa Kivuko Kinachounganisha Kata ya Msalato na Miyuji

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE MAVUNDE AAHIDI UJENZI WA KIVUKO KINACHOUNGANISHA KATA YA MSALATO NA MIYUJI

Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde akiongozana na Diwani ya Kata ya Msalato Mh. Nsubi Bukuku kukagua eneo la kivuko kinachotakiwa kujengwa katika Mtaa wa Senje kuunganisha kata ya Msalato na Miyuji.

Wakizungumza na Mbunge Mavunde ,wananchi hao walimshukuru Mbunge Mavunde kwa kusaidia ukarabati wa barabara katika mtaa wa Senje na kumuomba kuwasilisha changamoto hiyo TARURA kwa lengo la kupata ufumbuzi wa tatizo la kujaa maji katika eneo hilo ambao kipindi cha masika halipitiki kirahisi na hivyo kupeleka adha kwa wanafunzi wengi waliopo katika eneo hilo.

Akijibu hoja za wananchi Mbunge Mavunde ameahidi kukaa na TARURA kutafuta ufumbuzi wa muda kutatua adha hiyo kabla ya kuja na ufumbuzi wa kudumu wa kuondoa changamoto hiyo.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-07-22 at 08.41.33.jpeg
    WhatsApp Image 2024-07-22 at 08.41.33.jpeg
    92.4 KB · Views: 6
  • WhatsApp Image 2024-07-22 at 08.41.34.jpeg
    WhatsApp Image 2024-07-22 at 08.41.34.jpeg
    133.6 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2024-07-22 at 08.41.35.jpeg
    WhatsApp Image 2024-07-22 at 08.41.35.jpeg
    111.9 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-07-22 at 08.41.35(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-07-22 at 08.41.35(1).jpeg
    123.5 KB · Views: 7
  • WhatsApp Image 2024-07-22 at 08.41.36.jpeg
    WhatsApp Image 2024-07-22 at 08.41.36.jpeg
    212 KB · Views: 8
  • WhatsApp Image 2024-07-22 at 08.41.36(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-07-22 at 08.41.36(1).jpeg
    177.8 KB · Views: 7
  • WhatsApp Image 2024-07-22 at 08.41.37.jpeg
    WhatsApp Image 2024-07-22 at 08.41.37.jpeg
    121.4 KB · Views: 8
Kwamba hiyo ni sherehe ya kukagua kivuko KINACHO TARAJIWA KUJENGWA?? 🫠🫠
 
Back
Top Bottom