Mbunge,mchungaji LWAKATARE aumbuka bungeni

Ana kesi kibao pale kinondoni za kutokulipa wafanyakazi mishahara.Mchungaji au mchunguliaji?
 
scandal nyingi halafu kapewa madaraka ili yamfae mwenyewe
 
Vibaka wengi wako huko sikanyagi huko tena,
 
yule mama mbona tapeli hata ile st Marys ya Tabata kile kiwanja alitapeli
 
Atakanusha muda si mrefu kwamba hahusiki,atafutwe Shetani ndio mhusika mkuu!!
 
teh teh eti kishoka yeye, mbunge yeye, mchungaji yeye!

umesahau jina moja! mpaka mafuta wa bwana yeye!

sijui bwana gani alimpaka mafuta?? Yaani huyu mama ni mwizi, wale watumishi wake ndo usisema maana wanaiba hadi yale alosema mchngaji msigwa kuwandio ya kuombea(wake za watu na waume za watu)
 
Waumini wake watakuwa je?
kwani si dini yote ni moja, unaposema waumini wake una maana gani? pls nielweshe, au kila mchungaji anafata sheria zake na waumini wake kwenye dini moja?
 
Mchungaji mwiziii. Ndo maana Mimi nimeanzisha kanisa LANGU home.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…