Mbunge Mohamed Issa: Ajira za Wazanzibar zimechukuliwa na Wageni

Mbunge Mohamed Issa: Ajira za Wazanzibar zimechukuliwa na Wageni

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbunge wa Konde ( ACT Wazalendo) Mohamed Issa amelalamika bungeni Ajira za Wazanzibar kuchukuliwa na wageni

Mohamed Issa amesema ni uonevu mkubwa Wazanzibar kuporwa Ajira Zao.

Mlale Unono 😀😀
---
Kwa pale Zanzibar mimi naamini Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa ni mtu mwenye akili ya hali ya juu kabisa na busara na siamini kama alizidiwa maarifa na Karume kwa kusema kwamba Zanzibar watu waingie kwa utaratibu, kwanini waliweka passport, visiwa vile vinahitaji kulindwa na sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea ile Zanzibar watu watakuwa hawana sehemu ya kuishi.

Kwahiyo mimi bado nahitaji passport irudi ili kuwe na ulindaji wa wananchi kuingia pale, sasa hivi ukienda pale utakuta viwanja vimechukuliwa miti imekatwa na kulikuwa na zao la mikarafuu halipo tena limebakia Pemba, minazi hakuna tena, jambo hili sio zuri, sasa hivi ajira za watu wa Zanzibar zinachukuliwa na wageni.
 
Mbunge wa Konde ( ACT Wazalendo) Mohamed Issa amelalamika bungeni Ajira za Wazanzibar kuchukuliwa na wageni

Mohamed Issa amesema ni uonevu mkubwa Wazanzibar kuporwa Ajira Zao.

Mlale Unono 😀😀
---
Kwa pale Zanzibar mimi naamini Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa ni mtu mwenye akili ya hali ya juu kabisa na busara na siamini kama alizidiwa maarifa na Karume kwa kusema kwamba Zanzibar watu waingie kwa utaratibu, kwanini waliweka passport, visiwa vile vinahitaji kulindwa na sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea ile Zanzibar watu watakuwa hawana sehemu ya kuishi.

Kwahiyo mimi bado nahitaji passport irudi ili kuwe na ulindaji wa wananchi kuingia pale, sasa hivi ukienda pale utakuta viwanja vimechukuliwa miti imekatwa na kulikuwa na zao la mikarafuu halipo tena limebakia Pemba, minazi hakuna tena, jambo hili sio zuri, sasa hivi ajira za watu wa Zanzibar zinachukuliwa na wageni.
Mauritius

The country covers a total area of 790 square miles translating to a population density of 1,601.2 persons per square mile, the highest in Africa. The population density is attributed to the island nation's small area
Zanzibar
Zanzibar Zanzibar (Swahili) زنجبار (Arabic)
• 2022 census1,889,773
• Density768.2/km2 (1,989.6/sq mi)
GDP (nominal)2020 estimate
• Total$3.75 billion
 
Huyu mbunge hataki wazanzibar wazaliane anadhani idadi itabaki hiyohiyo miaka nenda rudi.
 
Mbunge wa Konde ( ACT Wazalendo) Mohamed Issa amelalamika bungeni Ajira za Wazanzibar kuchukuliwa na wageni

Mohamed Issa amesema ni uonevu mkubwa Wazanzibar kuporwa Ajira Zao.

Mlale Unono 😀😀
---
Kwa pale Zanzibar mimi naamini Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa ni mtu mwenye akili ya hali ya juu kabisa na busara na siamini kama alizidiwa maarifa na Karume kwa kusema kwamba Zanzibar watu waingie kwa utaratibu, kwanini waliweka passport, visiwa vile vinahitaji kulindwa na sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea ile Zanzibar watu watakuwa hawana sehemu ya kuishi.

Kwahiyo mimi bado nahitaji passport irudi ili kuwe na ulindaji wa wananchi kuingia pale, sasa hivi ukienda pale utakuta viwanja vimechukuliwa miti imekatwa na kulikuwa na zao la mikarafuu halipo tena limebakia Pemba, minazi hakuna tena, jambo hili sio zuri, sasa hivi ajira za watu wa Zanzibar zinachukuliwa na wageni.
Yeye huku bara anafanya nini? Analipwa mshahara na SMZ?

Hawa wapuuzi naona saa wamekuwa na pumzi za kuhara upuuzi.
 
Mbunge wa Konde ( ACT Wazalendo) Mohamed Issa amelalamika bungeni Ajira za Wazanzibar kuchukuliwa na wageni

Mohamed Issa amesema ni uonevu mkubwa Wazanzibar kuporwa Ajira Zao.

Mlale Unono 😀😀
---
Kwa pale Zanzibar mimi naamini Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa ni mtu mwenye akili ya hali ya juu kabisa na busara na siamini kama alizidiwa maarifa na Karume kwa kusema kwamba Zanzibar watu waingie kwa utaratibu, kwanini waliweka passport, visiwa vile vinahitaji kulindwa na sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea ile Zanzibar watu watakuwa hawana sehemu ya kuishi.

Kwahiyo mimi bado nahitaji passport irudi ili kuwe na ulindaji wa wananchi kuingia pale, sasa hivi ukienda pale utakuta viwanja vimechukuliwa miti imekatwa na kulikuwa na zao la mikarafuu halipo tena limebakia Pemba, minazi hakuna tena, jambo hili sio zuri, sasa hivi ajira za watu wa Zanzibar zinachukuliwa na wageni.
Nadhani jana hukunielewa. Hilo Ndilo tatizo la niye vijana hapa JF.

Hapa unadhibitisha nilichokisema
Ref Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao
 
Anapozungumzia ajira kuporwa na wageni anakuwa na kumbukumbu pia kwamba huku nafasi mbalimbali huku zina wao?? Na nyingine ipo kikatiba kabisa ya umakamu wa Rais?
 
Mbunge wa Konde ( ACT Wazalendo) Mohamed Issa amelalamika bungeni Ajira za Wazanzibar kuchukuliwa na wageni

Mohamed Issa amesema ni uonevu mkubwa Wazanzibar kuporwa Ajira Zao.

Mlale Unono 😀😀
---
Kwa pale Zanzibar mimi naamini Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa ni mtu mwenye akili ya hali ya juu kabisa na busara na siamini kama alizidiwa maarifa na Karume kwa kusema kwamba Zanzibar watu waingie kwa utaratibu, kwanini waliweka passport, visiwa vile vinahitaji kulindwa na sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea ile Zanzibar watu watakuwa hawana sehemu ya kuishi.

Kwahiyo mimi bado nahitaji passport irudi ili kuwe na ulindaji wa wananchi kuingia pale, sasa hivi ukienda pale utakuta viwanja vimechukuliwa miti imekatwa na kulikuwa na zao la mikarafuu halipo tena limebakia Pemba, minazi hakuna tena, jambo hili sio zuri, sasa hivi ajira za watu wa Zanzibar zinachukuliwa na wageni.
Hayuko sawa kichwani
 
Sio kama hatutaki kuwapa UHURU sema tunaogopa waataanza vurumai wakidai walinyonywa na mbaya zaidi kuna enter marriage kubwa mno
 
Mbunge wa Konde ( ACT Wazalendo) Mohamed Issa amelalamika bungeni Ajira za Wazanzibar kuchukuliwa na wageni

Mohamed Issa amesema ni uonevu mkubwa Wazanzibar kuporwa Ajira Zao.

Mlale Unono 😀😀
---
Kwa pale Zanzibar mimi naamini Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa ni mtu mwenye akili ya hali ya juu kabisa na busara na siamini kama alizidiwa maarifa na Karume kwa kusema kwamba Zanzibar watu waingie kwa utaratibu, kwanini waliweka passport, visiwa vile vinahitaji kulindwa na sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea ile Zanzibar watu watakuwa hawana sehemu ya kuishi.

Kwahiyo mimi bado nahitaji passport irudi ili kuwe na ulindaji wa wananchi kuingia pale, sasa hivi ukienda pale utakuta viwanja vimechukuliwa miti imekatwa na kulikuwa na zao la mikarafuu halipo tena limebakia Pemba, minazi hakuna tena, jambo hili sio zuri, sasa hivi ajira za watu wa Zanzibar zinachukuliwa na wageni.
Ni hivi Wazanzibar na hata wabara waelewe KATU hatutaiachia Zanzibar,never.Unapokuwa umepakana na nchi kubwa ni lazima ufichwe vilivyo kwa ajili ya usalama wa nchi hyo,Zanzibar tutaishikilia vilivyo kwa ajili ya usalama wa Tanzania bara.
Kitendo cha Urusi kuipa uhuru na kuiachia kabisa UKRAINE ndo kunaifanya kwasasa ilipe gharama kubwa!!..Mataifa yote makubwa yamevishikilia au yanavikontroo vijirani vyao hata Marekani haitakaa impe uhuru CUBA,never vivyohivyo UCHINA haiwez mpa uhuru Taiwan au Hongkong!!!
Kwahyo wazanzibar mtuelewe for our future survival and fate,never!
Duniani kuna vitisho vikubwa vya ugaidi na Zanzibar inaweza kiwa potential kwa JIHAD nk so we will never,aisee eleweni hilo.Na tukiona chokochoko ni nyingi TUNAWAPIGA,let us make it clear you should behave.Wazanzibar ni waafrika na wale wanaojiona kama waarabu ni zao la watumwa weusi waliotoka na ma-slave masters.You guyz mnavikwa upofu na uarabuuarabu sana.
So kaeni kwa kutulia muungano upo na utaendelea kuwepo.Sisi kuwalea na kuwapendelea sio ishu sana kwasabab tunalinda amani yetu ya sasa na ya vizazi vijavyo.Hatutaki Zenj iwe playground ya external forces against Dar Es Salaam
 
Dunia nzima ajira zinachukuliwa na wageni kwa muingiliano uliopo hakuna namna utazuia wageni ambao in a long run watakuwa wenyeji we ishi pata unachopata pumzika
Usisahau pia Zanzibar ajira nyingi zimeletwa na wageni maana wazanzibar wenyewe special Yao ni kuuza duka na kuswali
 
Back
Top Bottom