Ni hivi Wazanzibar na hata wabara waelewe KATU hatutaiachia Zanzibar,never.Unapokuwa umepakana na nchi kubwa ni lazima ufichwe vilivyo kwa ajili ya usalama wa nchi hyo,Zanzibar tutaishikilia vilivyo kwa ajili ya usalama wa Tanzania bara.
Kitendo cha Urusi kuipa uhuru na kuiachia kabisa UKRAINE ndo kunaifanya kwasasa ilipe gharama kubwa!!..Mataifa yote makubwa yamevishikilia au yanavikontroo vijirani vyao hata Marekani haitakaa impe uhuru CUBA,never vivyohivyo UCHINA haiwez mpa uhuru Taiwan au Hongkong!!!
Kwahyo wazanzibar mtuelewe for our future survival and fate,never!
Duniani kuna vitisho vikubwa vya ugaidi na Zanzibar inaweza kiwa potential kwa JIHAD nk so we will never,aisee eleweni hilo.Na tukiona chokochoko ni nyingi TUNAWAPIGA,let us make it clear you should behave.Wazanzibar ni waafrika na wale wanaojiona kama waarabu ni zao la watumwa weusi waliotoka na ma-slave masters.You guyz mnavikwa upofu na uarabuuarabu sana.
So kaeni kwa kutulia muungano upo na utaendelea kuwepo.Sisi kuwalea na kuwapendelea sio ishu sana kwasabab tunalinda amani yetu ya sasa na ya vizazi vijavyo.Hatutaki Zenj iwe playground ya external forces against Dar Es Salaam