Mbunge Mohamed Issa: Sikusema Bara waingie Zanzibar kwa Pasipoti

Mbunge Mohamed Issa: Sikusema Bara waingie Zanzibar kwa Pasipoti

"Nilizungumzia visiwa vya Zanzibar vinahitaji kulindwa, na sikuzungumzia nika-'identify' kwamba ni watu kutoka Tanzania Bara au Tanganyika waje na pasipoti [...] Mimi nilisema tunahitaji pasipoti irudi kwa sababu Tanzania hii ni kubwa, hii Tanzania tumepakana na majirani zetu ambao wana sura zinazofanana na sisi, wana lugha inayofanana na sisi lakini inafikia wakati kuna udanganyifu hata kwenye kupata vitambulisho. Wanapoingia Zanzibar ndiyo wanachukua zile kazi.” - Mohamed Issa, Mbunge wa Jimbo la Konde

View attachment 2979147
View attachment 2979168

Swahili Times

====

Pia soma:


Mp*mb*v* kama wap*mb*v* wengine.
 
"Nilizungumzia visiwa vya Zanzibar vinahitaji kulindwa, na sikuzungumzia nika-'identify' kwamba ni watu kutoka Tanzania Bara au Tanganyika waje na pasipoti [...] Mimi nilisema tunahitaji pasipoti irudi kwa sababu Tanzania hii ni kubwa, hii Tanzania tumepakana na majirani zetu ambao wana sura zinazofanana na sisi, wana lugha inayofanana na sisi lakini inafikia wakati kuna udanganyifu hata kwenye kupata vitambulisho. Wanapoingia Zanzibar ndiyo wanachukua zile kazi.” - Mohamed Issa, Mbunge wa Jimbo la Konde

View attachment 2979147
View attachment 2979168

Swahili Times

====

Pia soma:


Huyu jamaa lawama zimefika utosini.
Kwa ujinga wake alifikiri mnaotetea Zanzibar na uZanzibari wake kumbe ndio hajui muundo ya Watanzania Bara inamfuata.
Ataongea Dar kwa Passport na atajua utamu wake.
 
Nimefatilia hajui kutetea hoja aliyotoa
 
Huyo ni kilaza wa kutupwa, hajielewi kabisa.
 
Back
Top Bottom