Mbunge Mohamed Issa: Sikusema Bara waingie Zanzibar kwa Pasipoti

Mp*mb*v* kama wap*mb*v* wengine.
 
Huyu jamaa lawama zimefika utosini.
Kwa ujinga wake alifikiri mnaotetea Zanzibar na uZanzibari wake kumbe ndio hajui muundo ya Watanzania Bara inamfuata.
Ataongea Dar kwa Passport na atajua utamu wake.
 
Nimefatilia hajui kutetea hoja aliyotoa
 
Moto umemwagiwa Petrol, zima moto kazi wanayo.
 
Huyo ni kilaza wa kutupwa, hajielewi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…