Wakubwa mimi niko against wizi wa kura, na imeniuma sana ukizingatia jimbo nililopiga kura na mbunge niliyempigia walimchakachulia matokea yake, lakini hii ishu ya watu kuwawinda watu na kuwakimbiza maeneo yao ya kuishi si sawa kabisa na wala hatutakiwi kuishabikia kwa namna yoyote ile. NIna sababu zifuatazo:
1. Sio kila anayeshinda uchaguzi anapendwa na watu wote. This means hata pale unapopata zaidi ya 60% kuna 40% watakaoukuwa wameumia kwa njia moja au nyingine, hivyo wakiamua kuonyesha hasira zao kwa madai waliibiwa hata kama sio kweli hii nchi haitakalika
2. Hao watu wanaowinda hao walioshinda, dont tell me ni Karagwe nzima au Shinyanga mjini nzima, ni kikundi tu cha watu wachache naweza kuwaita BANDITS ndo wanafanya hayo, idadi inaweza kuwa 20 au 100, lakini tusipoangalia tunaambiwa ni wananchi wa jimbo husika kama vile ni wote.
3. Hii pia inaenda kwenye majimbo mengine ambayo huwa tunayasifia, kwamba wananchi wanawapenda viongozi wao. Mifano nimesikia kwa Mwakyembe Kyela na hata kwa Mwandosya Rungwe sijui magharibi, "wananchi" huwaita wale wanaotaka kuwapinga hawa mabwana either ndani ya chama au kwenye jimbo (kupitia upinzani) na kuwakaripia waache nia hiyo. Hawa tunaowaita wananchi ni kina nani??? Kama ni wananchi wote kwanini wana ogopa huyu mtu kugombea? si wangeacha then wamthibitishie kwamba huyu ndio chaguo lao kwenye sanduku la kura????? NI rahisi sana kwa mgombea kukodi hao ninaowaita BANDITS kuwadhalilisha na kuwatisha wapinzani wake ili tu apite bila kupingwa ambayo ni mbaya tu kama kuchakachua.
Nikishasema hayo, narudia kusema pamoja na kwamba siafiki matumizi ya wizi wa kura etc, lakini pia sintaafiki matumizi ya nguvu eti ya "wananchi" kuwatishia hao wanaosemekana walishinda kwa kuiba kura au kuwashindisha watu kwa kuwaibia kura. Tuangalie jinsi ya kurekebisha matatizo yetu kwa kutumia njia sahihi...
1. Sio kila anayeshinda uchaguzi anapendwa na watu wote. This means hata pale unapopata zaidi ya 60% kuna 40% watakaoukuwa wameumia kwa njia moja au nyingine, hivyo wakiamua kuonyesha hasira zao kwa madai waliibiwa hata kama sio kweli hii nchi haitakalika
2. Hao watu wanaowinda hao walioshinda, dont tell me ni Karagwe nzima au Shinyanga mjini nzima, ni kikundi tu cha watu wachache naweza kuwaita BANDITS ndo wanafanya hayo, idadi inaweza kuwa 20 au 100, lakini tusipoangalia tunaambiwa ni wananchi wa jimbo husika kama vile ni wote.
3. Hii pia inaenda kwenye majimbo mengine ambayo huwa tunayasifia, kwamba wananchi wanawapenda viongozi wao. Mifano nimesikia kwa Mwakyembe Kyela na hata kwa Mwandosya Rungwe sijui magharibi, "wananchi" huwaita wale wanaotaka kuwapinga hawa mabwana either ndani ya chama au kwenye jimbo (kupitia upinzani) na kuwakaripia waache nia hiyo. Hawa tunaowaita wananchi ni kina nani??? Kama ni wananchi wote kwanini wana ogopa huyu mtu kugombea? si wangeacha then wamthibitishie kwamba huyu ndio chaguo lao kwenye sanduku la kura????? NI rahisi sana kwa mgombea kukodi hao ninaowaita BANDITS kuwadhalilisha na kuwatisha wapinzani wake ili tu apite bila kupingwa ambayo ni mbaya tu kama kuchakachua.
Nikishasema hayo, narudia kusema pamoja na kwamba siafiki matumizi ya wizi wa kura etc, lakini pia sintaafiki matumizi ya nguvu eti ya "wananchi" kuwatishia hao wanaosemekana walishinda kwa kuiba kura au kuwashindisha watu kwa kuwaibia kura. Tuangalie jinsi ya kurekebisha matatizo yetu kwa kutumia njia sahihi...