Tatizo Mbowe kinamuuma Sana, iweje yeye akose halafu apate aliyekuwa viti maalum wake? Atapataje mwanamke yeye akose!
Kwa vile anajua
Watu tayari wamehamisha gori.. Kaangalie VAR
We would rather stay poor but free than be rich slaves of Western & European imperialism.Hatua njema. Alisema mpambanaji:
"I would rather stay poor."
Kwa hakika:
"She would rather stay poor."
Hujawahi hata kufika NKASI ndo maana unadhani inaitwa Nkassi!Ajiuzulu tu turudie uchaguzi tumgaragaze.
Wana Nkassi hatupendi dharau.
Hiiii itabidi mumpe na uongozi kwenye chama kabisa sasa
We would rather stay poor but free than be rich slaves of Western & European imperialism.
Ameyakana mapendekezo haya bora chama kimfute uanachama
Kunyolewa kwa matokeo ya mfukoniChadema na Act wapuuzi Sana aisee!!
2015, waliingia ulingoni wagombea takriban kila Jimbo waliweka mtu, cha kushangaza, Zito akashinda pekee yake, Kwa nini wale walioshindwa hawakumwambia Zitto ajihudhuru ubunge kama anavyowaambia wenzake Leo Kwa vile yeye kashindwa??
Tuna vyama pinzani vyevye watu wapenda pesa kuliko hata maisha Yao wenyewe!!
Na watulie waendelee kunyolewa na wembe Wa JPM ni mkali vibaya
Wanawake wengi ukimbilia kuolewa sababu ya maisha magumu ya na awajui nn maana ya ndoa wakijimudu tu kiuchumi mume si kitu ni Takataka kwao,uishia kuzaa hovyo na kuwa na watoto mseto,kila mtoto na baba yake.Huyu Dada ubunge wa viti maalum ulifanya mpaka kumkacha mumewe, Mbowe Mungu anakuona. Ulitegemea afurahi?.
Alienda shule kwa faida yake au ya wenzake?Mfano wa kitoto usioendana na hali halisi. Kama wenzake walifelishwa kwa makusudi kwanini yeye afurahie kufaulu peke yake?