Kwani ndiyo mara yake ya kwanza?Yuko mbele mbele sana, sijui ushamba au kitu gani, ndio maana akahudhuria mpaka sherehe za kuapishwa jiwe.
Mtu wa namna hii huwezi kumpa ushauri wa tofauti na kwenda bungeni akaufuata, na anaweza kuwa ndio anatumiwa na CCM kuwalainisha wabunge wengine wa Chadema wakubali teuzi za viti maalum.
Mtamlipa pesa zake za uchaguzi?Ni bora ajiuzulu ili kuunga mkono juhudi
Ana roho ngumu sana! Atakuwa mchawi. Kama siyo mchawi, hauwezi. CHADEMA wamfukuze uanachama ili atumikie kupitiala asifujuzww
Ana roho ngumu sana! Atakuwa mchawi. Kama siyo mchawi, hauwezi. CHADEMA wamfukuze uanachama ili atumikie kupitia CCM.
Wewe kwa akili yako fupi ulitaka afanye nini?Yuko mbele mbele sana, sijui ushamba au kitu gani, ndio maana akahudhuria mpaka sherehe za kuapishwa jiwe.
Mtu wa namna hii huwezi kumpa ushauri wa tofauti na kwenda bungeni akaufuata, na anaweza kuwa ndio anatumiwa na CCM kuwalainisha wabunge wengine wa Chadema wakubali teuzi za viti maalum.
Wakati wabunge wa Chadema wanavuta posho na kutoroka wakidai wanakimbia Covid hukuona maovu yao kuwa wanapenda pesa? Leo huyu dada kuwakilisha waliomchagua unaleta uswahili wa mkosaji.Wala asifukuzwe au kuulizwa chochote, bali msimamo wa chama ubaki pale pale hasa kutokupeleka wabunge wa viti maalum. Huyo kumfukuza au kumzuia kwenda bungeni ni kutoa nafasi ya hali hiyo kufanyiwa propaganda chafu. Aachwe ajinafasi maana huko bungeni ni sehemu ya kipato, lakini sio lolote la maana ndani ya hilo bunge kibogoyo.
Ubunge siyo wa CHADEMA ni wa wananchi, hivi Lissu angeshinda urais madiwani na wabunge wote wa CHADEMA wakachakachuliwa kwa kura fake angegoma kuwa rais kwa kuwa madiwani na wabunge wa CHADEMA wote wamedhulumiwa haki yao?.
Nina wakika maCCM hili jimbo wakalisahau kimpindi ya kupiga kura lipo hapa nchini. Hii ni true reflection uchaguzi ungekua huru na haki matokeo yake yangekuwa ma66% mungu nisamehe kama nimekoseaHuyu Mama Jasiri sana
Jimbo lake pekee limetoa asillimia 66% ya Madiwan wote wa Chadema hapa Nchini
Hata wakimfukuza, bungeni atakaa tuKama ni kweli alihudhuria kuapishwa kwa Meko basi kuna tatizo kubwa linakuja.
Wakati wabunge wa Chadema wanavuta posho na kutoroka wakidai wanakimbia Covid hukuona maovu yao kuwa wanapenda pesa? Leo huyu dada kuwakilisha waliomchagua unaleta uswahili wa mkosaji.
Mshamba ni yule anaacha kulala kwao anaenda kulala kwa balozi wa Ujerumani akikimbia kesi na madeni ya pesa alizohongwa.Yuko mbele mbele sana, sijui ushamba au kitu gani, ndio maana akahudhuria mpaka sherehe za kuapishwa jiwe.
Mtu wa namna hii huwezi kumpa ushauri wa tofauti na kwenda bungeni akaufuata, na anaweza kuwa ndio anatumiwa na CCM kuwalainisha wabunge wengine wa Chadema wakubali teuzi za viti maalum.
Chadema Kama chama kipo imara Sana, na kwa haya yanayoendelea no kabisa inaonesha wananchi wako na Chadema mpaka dahari,Yuko mbele mbele sana, sijui ushamba au kitu gani, ndio maana akahudhuria mpaka sherehe za kuapishwa jiwe.
Mtu wa namna hii huwezi kumpa ushauri wa tofauti na kwenda bungeni akaufuata, na anaweza kuwa ndio anatumiwa na CCM kuwalainisha wabunge wengine wa Chadema wakubali teuzi za viti maalum.
πππ¨π¨Hayo ndio mambo katumia pesa pengine hata alikopa ili apige kampeni alafu watu walete blaa blaa nenda kajilie keki ya nchi ni zamu yako hii wengine zamu yao ilishapita
Habari za kumwaga damu zinatoka wapi? Na kuchukua posho kwa maslahi ya kulinda tumbo kuliko kuwakilisha wananchi unaona sawa tu.Umeona nikizuia yeye kwenda bungeni? Wakati huo wa covid wananchi walimwaga damu zao kwa kutumia vyombo vya dola?
Habari za kumwaga damu zinatoka wapi? Na kuchuku posho kwa maslahi ya kulinda tumbo kuliko kuwakilisha wananchi unaona sawa tu.