Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Wewe ndio huna hoja, mwacheni huyu dada awakalishe wananchi, Mbowe kukosa ubunge ndio msipeleke wawwkilishi wa viti maalumu? Ndio maana tunasema mlikuwa bungeni kwa ajili ya maslahi ya Saccos fc club from kinondoni shamba mabondeni.Unalazimisha kuchanganya mada, ndio maana unakutana na majibu hayo. Ni hivi, huna hoja.