Mbunge Mteule Wa Nkasi Kaskazini, Aida Khenani (CHADEMA) awasili Bungeni mapema leo na kujisajili kwa mujibu wa taratibu

Unalazimisha kuchanganya mada, ndio maana unakutana na majibu hayo. Ni hivi, huna hoja.
Wewe ndio huna hoja, mwacheni huyu dada awakalishe wananchi, Mbowe kukosa ubunge ndio msipeleke wawwkilishi wa viti maalumu? Ndio maana tunasema mlikuwa bungeni kwa ajili ya maslahi ya Saccos fc club from kinondoni shamba mabondeni.
 
Hakuna viti maalum kwa Chadema hawakufikisha 5% ya wabunge wote wa kuchaguliwa. Mwache dada wa watu akawatumikie wapigakura wake pia kumbuka ameingia gharama kwenye kampeni Chadema hawakumsaidia hata senti tano. Kawalipa mawakala wake kutoka mfukoni mwake.
 
Mtamlipa pesa zake za uchaguzi?
Gharama alizotumia atalipwa na Nani?

Hata ww ungekuwa kwenye nafasi kama yake Im sure ungeenda
Ningeenda sababu ya BT yaani bora tumbo.

Kihusu gharama za uchaguzi mdogo nadhani NEC wanazo pesa.Tunataka bunge la kijani tupu kama ilivyokuwa miaka ya 70 na 80
 
Aachwe tu. Na Chadema wasimzungumzie kabisa. Hii itampa nafasi kuonyesha jinsi atakavyo wapigania waliompigia kura. Kwa vile yuko njiani kwenda upande wa pili, mwenyewe atajiondoa.

Amandla...
 
Ndiyo maana alipewa ubunge na CCM
 
Chadema Kama chama kipo imara Sana, na kwa haya yanayoendelea no kabisa inaonesha wananchi wako na Chadema mpaka dahari,
Huyu mbunge Kuna kivuli kinampa jeuri mpaka kua na misimamo tofauti na chama ,CHADEMA FUKUZIA MBALI
Kwisha habari yenu, mlitunyima usingizi kwa kutuhadaa kwamba mko tayari kuchukua nchi halafu leo mnadai kuibiwa kura. Poor Chadema, hamjakomaa kuchukua nchi. Kifupi hamna tofauti na Trump anadai kuibiwa lakini ushahidi hana.
 
Ningeenda sababu ya BT yaani bora tumbo.

Kihusu gharama za uchaguzi mdogo nadhani NEC wanazo pesa.Tunataka bunge la kijani tupu kama ilivyokuwa miaka ya 70 na 80

Wanazo wanatoa wapi?
 
Hongera sana kwa kutokea Bungeni ili kuwakilisha wananchi walio kupa dhamana.
 
Najiuliza yaani huyu kamshinda Ally Kessy mzee wa Hill Water? Kwahio hata hoja yake ya JPM kulazimishwa awamu ya 3 haina maana? CCM hawajamtaka tu aende bungeni
 
Wewe ndio huna hoja, mwacheni huyu dada awakalishe wananchi,Mbowe kukosa ubunge ndio msipeleke wawwkilishi wa viti maalumu? Ndio maana tunasema mlikuwa bungeni kwa ajili ya maslahi ya Saccos fc club from kinondoni shamba mabondeni.
Chadema walivyozoea kugalagaza pesa ya ruzuku unadhani watamzuia thubutuuuuuu, Aida ni mtaji kwa Chadema bado na viti maalum watapeleka maana wafuatiwa na ruzuku isiyopungua 100milioni nani mjinga aachie mshiko.Mnyika anazuga tu tayari wanajua kuna kipato
 
Huyo mpumbafu afukuzwe akawe mbunge wa viti maalum vya Ndugai Kama wenzake kina Silinde.
 
Huyo sijui Aidah Kenan atakuwa katishwa na kulazimisha na Jiwe , maana Jiwe anahali ngumu Sana baada ya kuvuruga uchaguzi atapata wapi viti kambi rasmi ya upinzani na kxmati ya LAAC na PAC .Kwahiyo we Kenndn kwa ujinga wako utaleta tija gani bungeni?
 
No kweli amechaguliwa na wananchi, na hao wananchi wanaelewa yaliyotokea, anao UHURU wa kuamua wat next. Ila ninachoamini wengi ya tunaowachagua ni matumbo yao Kwanza, kubali/kataa.
 
umeanza....
Jaribu kuheshimu maamuzi ya watu kijana
unadhani Mbowe,lema na Mdee wangepita ubunge wangesusa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…