Mbunge Mulamula afurahia kupanda Coaster

Nimefurahi kula mhogo leo, kumbe mtamu.
Nilikuwa nakula keki kila siku.
 
..Ni mama ana mume na watoto.

..ziko mpaka video clips akimtambulisha mume wake.

..kuna wachangiaji wanatumia vibaya mitandao kuchafua wengine.
Kwani wa Mama ambao wana watoto na mume hawana wapenzi wa jinsia yao?
 
Anamtumia ujumbe mtu aliyempandisha basi London. Ugomvi wa kina mama ni mgumu sana.
 
Komwe lile!!!!
 
Kamjibu Mtu hapo kuwa hata Yeye alivyopanda Basi Mazishini nchini Uingereza hakupaswa Kukasirika na kuishia Kumtumbua.
Tena ameenda mbali zaidi kwa kusema hakuwahi kupanda usafiri huo ila ameufurahia mno.

Hebu tujiulize;
1. Je ni kweli Liberata hajawahi kupanda basi katika ukuaji wake? Maana hawa wasomi wa zamani wamesafiri sana kwa mabasi ya railway.
2. Je coaster ina tofauti sana na aina nyingine ya usafiri?
3. Kwamba katika yote yeye kilichomfurahisha ni kupanda coaster tu.

Ujumbe hapa ni kuwa;
1. Hili ni dongo kwa mtu fulani, pengine walianza kutofautiana pale mama alipopandishwa basi na kisha picha kuenea akiwa ndani ya basi hilo.
2. Kwamba kitendo kile kwa libarata kilikuwa cha kawaida sababu marais wengine nao walipanda mule. Lakini kumbe mama alitaka kuwa treated very special. Maana hata waziri mkuu wa Ethiopia alitumia magari ya ubalozi.
3. Liberata alifanya kazi na mtu asiyemjua tena mswahili haswa. Cha muhimu atulie tu kwa sasa maana jumbe kama hizo zikiwafikia chawa itakuwa shida. Japo ujumbe umetolewa kisomi.
 
. Liberata alifanya kazi na mtu asiyemjua tena mswahili haswa. Cha muhimu atulie tu kwa sasa maana jumbe kama hizo zikiwafikia chawa itakuwa shida. Japo ujumbe umetolewa kisomi.
Hebu tueleweshe ni usomi gani uliotumika hapo?
 
Mtu mwenye uraia wa Mareeeekan aliwezaje kuwa waziri wetu kinyume na Katiba?

Tuandike tu Katiba mpya na tuweke mifumo thabiti kuisimamia.

Aamen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…