kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Sio siri, Msukuma ana akili ya kuzaliwa, ana kipaji cha kuongea mbele ya watu, ni kukosa tu elimu ya darasani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbunge wa Geita Msukuma ameishauri serikali Kufunga mitungi ya gesi kwenye magari yote ya mawaziri ili kubana matumzi.
Ameyasema hayo leo hii 25/04 Bungeni wakati akichangia Bajeti ya wizara ya nishati.
Kwa sasa magari ya mawaziri, gari moja yaani V8 ikitoka Dar kwenda Dom inatumia laki 5 gharama ya mafuta tu.. endapo watafunga mitungi ya gesi tripu moja watatumia Sh. elfu 90.
Kama ni kweli basi naunga mkono hoja, na tunaiomba serikali Ibane matumizi kwa kufunga mitungi ya gesi magari yote ya serikali.
Nchi yetu/ watu wake bado ni masikini, hivyo suala la kubana matumizi Serikalini ni jambo muhimu sana.
Ila kuna baadhi ya watendaji hawana uchungu wala huruma, hawajali kama nchi hii bado ni masikini.....wabinafsi.
Pia soma
- Naibu Waziri Mkuu: Magari ya Serikali yafungwe mfumo wa gesi asilia