Mbunge Musukuma: Tunafuata bidhaa Uganda zilizopita kwenye bandari yetu. Hatuoni aibu?

Mbunge Musukuma: Tunafuata bidhaa Uganda zilizopita kwenye bandari yetu. Hatuoni aibu?

Mbunge wa Geita Vijijini, Musukuma Kasheku akichangia bajeti kuu amesema Tanzania tuone aibu, haiwezekani bidhaa za Uganda zinapita bandari ya Tanzania, halafu sisi tunazifuata huko

"Leo hii sisi Watanzania tunafuata bidhaa Uganda na Kenya hamuoni aibu?, bandari inayotumika ni ya Dar es Salaam kuchukua mizigo kuipeleka Uganda halafu sisi tunaifuata Uganda kuileta Tanzania hii haiwezekani tumekosea wapi?, lazima muangalie tukiiua Kariakoo tutakuja kushikana mashati humu ndani hiyo ndiyo kila kitu kwa Tanzania lazima tupalinde,"

Wakenya, Waganda wangekubali huu upambavu?
 
Mbunge wa Geita Vijijini, Musukuma Kasheku akichangia bajeti kuu amesema Tanzania tuone aibu, haiwezekani bidhaa za Uganda zinapita bandari ya Tanzania, halafu sisi tunazifuata huko

"Leo hii sisi Watanzania tunafuata bidhaa Uganda na Kenya hamuoni aibu?, bandari inayotumika ni ya Dar es Salaam kuchukua mizigo kuipeleka Uganda halafu sisi tunaifuata Uganda kuileta Tanzania hii haiwezekani tumekosea wapi?, lazima muangalie tukiiua Kariakoo tutakuja kushikana mashati humu ndani hiyo ndiyo kila kitu kwa Tanzania lazima tupalinde,"


⚖️Justice for Asimwe#
 
Mbunge wa Geita Vijijini, Musukuma Kasheku akichangia bajeti kuu amesema Tanzania tuone aibu, haiwezekani bidhaa za Uganda zinapita bandari ya Tanzania, halafu sisi tunazifuata huko

"Leo hii sisi Watanzania tunafuata bidhaa Uganda na Kenya hamuoni aibu?, bandari inayotumika ni ya Dar es Salaam kuchukua mizigo kuipeleka Uganda halafu sisi tunaifuata Uganda kuileta Tanzania hii haiwezekani tumekosea wapi?, lazima muangalie tukiiua Kariakoo tutakuja kushikana mashati humu ndani hiyo ndiyo kila kitu kwa Tanzania lazima tupalinde,"

Baada ya kuyasema hayo anaunga mkono hoja kwa asilimia 100, Taifa la kipimbi sana hili, hadaa ni nyingi mno
 
Mbunge wa Geita Vijijini, Musukuma Kasheku akichangia bajeti kuu amesema Tanzania tuone aibu, haiwezekani bidhaa za Uganda zinapita bandari ya Tanzania, halafu sisi tunazifuata huko

"Leo hii sisi Watanzania tunafuata bidhaa Uganda na Kenya hamuoni aibu?, bandari inayotumika ni ya Dar es Salaam kuchukua mizigo kuipeleka Uganda halafu sisi tunaifuata Uganda kuileta Tanzania hii haiwezekani tumekosea wapi?, lazima muangalie tukiiua Kariakoo tutakuja kushikana mashati humu ndani hiyo ndiyo kila kitu kwa Tanzania lazima tupalinde,"

Huyu mwendawazimu alipelekwa mpk Dubai leo anashangaa ni nini?
 
Tatizo ni kodi utitiri na tozo nyingi za kijinga. Mbaya zaidi hata hiyo kodi inatumika kwenye anasa za viongozi wa serikali: kuzurula na wasanii nchi za nje, kununua maV8, na posho za watawala.

Umaskini wa akili ni mbaya kuliko wa aina yoyote. Viongozi ni maskini wa akili, wanawaibia ndugu zao. Wananchi nao ni maskini wa akili, licha ya kufanyiwa udhalimu mbalimbali na watawala wao, kwa uchawa wa kijinga kabisa, wanaimba mapambio ya kuwasifu watawala dhulumati.
Lucas de mwashambwa ephen_ sweetheart. Yani yeye ni kukata maunooo tu kwenye uchawa
 
Nakumbuka Tulia aliwahi kurusha jiwe gizani akisema kuna watu wanapiga kelele kuhusu bandari na akati hawajawahi kuagiza hata T-shirt kutoka nje!
 
Back
Top Bottom