Kamata mbwa wote Hawa nyonga kama Korea basi!Mambo mengine yanahuzunisha na kustaajabisha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamata mbwa wote Hawa nyonga kama Korea basi!Mambo mengine yanahuzunisha na kustaajabisha sana.
Wakenya, Waganda wangekubali huu upambavu?Mbunge wa Geita Vijijini, Musukuma Kasheku akichangia bajeti kuu amesema Tanzania tuone aibu, haiwezekani bidhaa za Uganda zinapita bandari ya Tanzania, halafu sisi tunazifuata huko
"Leo hii sisi Watanzania tunafuata bidhaa Uganda na Kenya hamuoni aibu?, bandari inayotumika ni ya Dar es Salaam kuchukua mizigo kuipeleka Uganda halafu sisi tunaifuata Uganda kuileta Tanzania hii haiwezekani tumekosea wapi?, lazima muangalie tukiiua Kariakoo tutakuja kushikana mashati humu ndani hiyo ndiyo kila kitu kwa Tanzania lazima tupalinde,"
Mbunge wa Geita Vijijini, Musukuma Kasheku akichangia bajeti kuu amesema Tanzania tuone aibu, haiwezekani bidhaa za Uganda zinapita bandari ya Tanzania, halafu sisi tunazifuata huko
"Leo hii sisi Watanzania tunafuata bidhaa Uganda na Kenya hamuoni aibu?, bandari inayotumika ni ya Dar es Salaam kuchukua mizigo kuipeleka Uganda halafu sisi tunaifuata Uganda kuileta Tanzania hii haiwezekani tumekosea wapi?, lazima muangalie tukiiua Kariakoo tutakuja kushikana mashati humu ndani hiyo ndiyo kila kitu kwa Tanzania lazima tupalinde,"
I'm half American and half Tanzania.Are you Ugandan or Congolese?
Baada ya kuyasema hayo anaunga mkono hoja kwa asilimia 100, Taifa la kipimbi sana hili, hadaa ni nyingi mnoMbunge wa Geita Vijijini, Musukuma Kasheku akichangia bajeti kuu amesema Tanzania tuone aibu, haiwezekani bidhaa za Uganda zinapita bandari ya Tanzania, halafu sisi tunazifuata huko
"Leo hii sisi Watanzania tunafuata bidhaa Uganda na Kenya hamuoni aibu?, bandari inayotumika ni ya Dar es Salaam kuchukua mizigo kuipeleka Uganda halafu sisi tunaifuata Uganda kuileta Tanzania hii haiwezekani tumekosea wapi?, lazima muangalie tukiiua Kariakoo tutakuja kushikana mashati humu ndani hiyo ndiyo kila kitu kwa Tanzania lazima tupalinde,"
Huyu mwendawazimu alipelekwa mpk Dubai leo anashangaa ni nini?Mbunge wa Geita Vijijini, Musukuma Kasheku akichangia bajeti kuu amesema Tanzania tuone aibu, haiwezekani bidhaa za Uganda zinapita bandari ya Tanzania, halafu sisi tunazifuata huko
"Leo hii sisi Watanzania tunafuata bidhaa Uganda na Kenya hamuoni aibu?, bandari inayotumika ni ya Dar es Salaam kuchukua mizigo kuipeleka Uganda halafu sisi tunaifuata Uganda kuileta Tanzania hii haiwezekani tumekosea wapi?, lazima muangalie tukiiua Kariakoo tutakuja kushikana mashati humu ndani hiyo ndiyo kila kitu kwa Tanzania lazima tupalinde,"
Lucas de mwashambwa ephen_ sweetheart. Yani yeye ni kukata maunooo tu kwenye uchawaTatizo ni kodi utitiri na tozo nyingi za kijinga. Mbaya zaidi hata hiyo kodi inatumika kwenye anasa za viongozi wa serikali: kuzurula na wasanii nchi za nje, kununua maV8, na posho za watawala.
Umaskini wa akili ni mbaya kuliko wa aina yoyote. Viongozi ni maskini wa akili, wanawaibia ndugu zao. Wananchi nao ni maskini wa akili, licha ya kufanyiwa udhalimu mbalimbali na watawala wao, kwa uchawa wa kijinga kabisa, wanaimba mapambio ya kuwasifu watawala dhulumati.