Mbunge Ndaisaba Achangia Milioni 1.2 Ujenzi Miundombinu ya Maji

Mbunge Ndaisaba Achangia Milioni 1.2 Ujenzi Miundombinu ya Maji

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE NDAISABA RUHORO ACHANGIA 1,200,000 JUMUIYA YA WATUMIAJI MAJI - KASULO

"Nimechangia Mita 40 za kurekodi matumizi ya maji, na kiasi cha TZS 1,200,000 kama gharama ya ufundi wa kuzifunga mita hizo kwa wateja wa mwanzo" - Mhe. Ndaisaba George Ruhoro, Mbunge wa Jimbo la Ngara

"Lengo likiwa ni kuhamasisha Wananchi kujiunga na Huduma ya maji, lakini pia kuongeza uwajibikaji na kuamsha ari ya kulipia ankara za Maji kwa wakazi wa Kasulo na Kigando" - Mhe. Ndaisaba George Ruhoro, Mbunge wa Jimbo la Ngara

"Hiyo ni kutokana na kilio cha muda mrefu cha wananchi hao kuhitaji huduma ya maji safi na salama huku wakiwa na mradi wa maji wa zamani uliochoka na miundombinu yake kushindwa kukidhi mahitaji." - Mhe. Ndaisaba George Ruhoro, Mbunge wa Jimbo la Ngara
WhatsApp Image 2023-07-23 at 00.33.29.jpeg
WhatsApp Image 2023-07-23 at 00.33.30.jpeg
WhatsApp Image 2023-07-23 at 00.33.30(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-07-23 at 00.33.30(2).jpeg
WhatsApp Image 2023-07-23 at 00.33.31.jpeg
WhatsApp Image 2023-07-23 at 00.33.32.jpeg
WhatsApp Image 2023-07-23 at 00.33.32(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-07-23 at 00.33.33.jpeg
 
Sisi tunalilia Bandari zetu wewe unaleta uchawa wako wa kipuuzi.
 
Hiyo ni sehemu ndogo sana ya hango ya DP World.
 
1.2 M kwa jimbo lake ni hoja ya kuleta huku kweli!
Kwanza nilifikiri ni 1.2 B mambo mengine ni kioja!
 
Back
Top Bottom