Mbunge Neema Lugangira: Sheria ya Ulinzi wa Data iharakishwe

Mbunge Neema Lugangira: Sheria ya Ulinzi wa Data iharakishwe

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Mbunge Neema Lugangira amesema mchakato wa Anuani za Makazi unaleta changamoto kubwa ya Usalama wa Taarifa Binafsi za Watu, akitoa wito wa kuharakishwa kwa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi.

Amesema, "Natambua zipo Asasi za Kiraia ambazo zimeshaanza Mchakato huu, mfano ni Jamii Forums na wengine. Tayari ipo rasimu hivyo kazi iliyobaki ni ndogo. Wizara ichukue jitihada ambazo zimeshaanza ilete Sheria hapa Bungeni"
 
neema lugangira lipa kwanza mishahara wako kwenye kale ka NGO kako pale dodoma
 
Back
Top Bottom