Mbunge Ngassa; Wana Igunga kwasasa Taifa Letu Lina Umeme

Mbunge Ngassa; Wana Igunga kwasasa Taifa Letu Lina Umeme

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE NGASSA: " WANA IGUNGA KWA SASA TAIFA LETU LINA UMEME WA KUTOSHA"

Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa Ameendelea na Ziara Jimboni kwenye ngazi ya chini ya Utawala ya Vitongoji huku atokia ufafanuzi wa masuala mbalimbali kwa Wananchi pamoja na;

1. Kutoa mrejesho wa Bunge la Bajeti kwa Wananchi.
2. Kuona Maendeleo ya Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo.
3. Kuhamasisha Wananchi kujitokeza kwenye maboresho ya Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na Kujiandikisha kwenye Daftari la Wakazi
4. Kuhamasisha Wananchi kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Mwaka 2024
5. Kusikiliza Kero za Wananchi na kuzipatia ufumbuzi.

#KAZI NA MAENDELEO
#KAZI IENDELE
 
Miaka 60 ya uhuru bado tunaona kuwa na umeme wa uhakika ni jambo la kujisifia na kulitumia kwenye kampeni.

Ilitakiwa sasa hivi mnakuja kututembelea wananchi mnatumabia mmerusha roketi ngapi, maendeleo ya science and technology, viwanda vya magari n.k
 
Back
Top Bottom