Mbunge Njau: Jengo letu la Ubalozi Washington DC limechakaa na limepoteza hadhi

Mbunge Njau: Jengo letu la Ubalozi Washington DC limechakaa na limepoteza hadhi

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

Mbunge Felista Deogratius Njau akichangia mada kuhusu Hotuba ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amesema majengo kadhaa ya Ubalozi wa Tanzania yamechakaa likiwemo la Washington DC Nchini Marekani, hivyo ameshauri Serikali iangalie jinsi ya kuboresha.

Ameyasema hayo Bungeni, leo Mei 28, 2024.
 
Back
Top Bottom