Loltimigomi
New Member
- Mar 3, 2009
- 1
- 0
pAMOJA NA KUBWEKA BUNGENI KUPIGA VITA UFISADI LAKINI YEYE MWENYEWE NI FISADI NAMBA MOJA KWA KUUZA ARDHI JIMBONI KWAKE WAKATI HUO AKIWA DIWANI. KUTEUA VIONGOZI MATAAHIRA KATIKA NAFASI MBALIMBALI NDANI YA CHAMA NA KUWAKATA MAJINA WATU WENYE SIFA NA WANAOHITAJIKA NA JAMII. HUYU NI MTU HOVYO SANA, WATU WA NJE HAWAMFAHAMU LAKINI WENYEJI WANAMPATA VYEMA. FANYENI ANALYSIS ON THIS MATTER!!
pAMOJA NA KUBWEKA BUNGENI KUPIGA VITA UFISADI LAKINI YEYE MWENYEWE NI FISADI NAMBA MOJA KWA KUUZA ARDHI JIMBONI KWAKE WAKATI HUO AKIWA DIWANI. KUTEUA VIONGOZI MATAAHIRA KATIKA NAFASI MBALIMBALI NDANI YA CHAMA NA KUWAKATA MAJINA WATU WENYE SIFA NA WANAOHITAJIKA NA JAMII. HUYU NI MTU HOVYO SANA, WATU WA NJE HAWAMFAHAMU LAKINI WENYEJI WANAMPATA VYEMA. FANYENI ANALYSIS ON THIS MATTER!!
Au wewe ni mmoja wa hao wenye sifa ''waliokatwa majina''? ndio usongo umekuleta hapa?
Join Date
3rd March 2009
Total Posts
1
Ile pyee kaanza na shuti
Bahati mbaya kishuti mtoto,siku nyingine uje kamili bwana mdogo usilete utoto humu
Haya mamisemo ya wahenga kuna nyakati tunatakiwa kuyatumia na nyakati nyingine kuyaacha. Sio kila lisemwalo lilitokea.Wahenga walinena 'lisemwalo lipo kama halipo linakuja'!
pAMOJA NA KUBWEKA BUNGENI KUPIGA VITA UFISADI LAKINI YEYE MWENYEWE NI FISADI NAMBA MOJA KWA KUUZA ARDHI JIMBONI KWAKE WAKATI HUO AKIWA DIWANI. KUTEUA VIONGOZI MATAAHIRA KATIKA NAFASI MBALIMBALI NDANI YA CHAMA NA KUWAKATA MAJINA WATU WENYE SIFA NA WANAOHITAJIKA NA JAMII. HUYU NI MTU HOVYO SANA, WATU WA NJE HAWAMFAHAMU LAKINI WENYEJI WANAMPATA VYEMA. FANYENI ANALYSIS ON THIS MATTER!!
Haya mamisemo ya wahenga kuna nyakati tunatakiwa kuyatumia na nyakati nyingine kuyaacha. Sio kila lisemwalo lilitokea.
Msimashambulie sana kaka/dada wa watu...maana mara nyingi hizo tetesi huwa zinakuwa na ukweli ndani yake sema tuu yeye alikosea hakuja na strong evidence ...i think katika kufanya research yake akafikia sehemu akashindwa kupata proof and at last akaona awaachie nyie mabingwa hahahaha kazi kweli kweli.....
Hivyo je tutafika??..maana kila kiongozi these days in Tanzania ni FISADI...Viongozi walikuwa enzi hizo za Nyerere na lil bit uongozi wa mwinyi...Serikali yetu imeoza sana sana...na inatia aibu...
Nakubalia nawe Kelly, huyu asishambuliwe sana, History yake hapa chini inathibitisha. Makaribisheni kwa uzuri....
Join Date: Tue Mar 2009
Posts: 1
Rep Power: 0
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Credits: 264