Mbunge Peter Msigwa unaongoza kwa unafiki nchini

Mbunge Peter Msigwa unaongoza kwa unafiki nchini

mbona hujazungumzia unafiki wa raisi magufuli kuhusu Koroshow... alisema angezibangua baada ya cku mbili leo mwezi wa ngapi wengi hawajalipwaa? akiulizwa anataja pesa iliyotumika badala ya idadi ya walioliolipwa!
anasema amelipa madai ya walimu kumbe ni ulongo mtu anadai ml 1 wewe unamlipa laki 1?
anatafuta wenye vyeti feki bashite kamuacha.
serikali inafungia magazeti Tanzanite linaachwa likitukana na kujenga chuki
anapambana na rushwa pembeni yupo na rostam azizi?
Huna unachojijua kuhusu korosho ,



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna unachojijua kuhusu korosho ,



Sent using Jamii Forums mobile app
wewe sio tu korosho hujui hata sshemu za mwli wa binadamu. nisijue kuhusu korosho kwani naishi mbinguni ama unadhani wote tunashinda kwenye keyboards tukisifu na kuabudu? haihitaji kwenda nachingwea wala naliendelele nenda kibiti au mkuranga utagundua waliolipwa ni wachache tena wenye vijikilo haba.
MWAMBIENI RAISI AWALIPE WATU KWAKUWA NI JASHO LAO.
haya ya kina msigwa sijui nini? mnatapatapa tuuu
 
wewe sio tu korosho hujui hata sshemu za mwli wa binadamu. nisijue kuhusu korosho kwani naishi mbinguni ama unadhani wote tunashinda kwenye keyboards tukisifu na kuabudu? haihitaji kwenda nachingwea wala naliendelele nenda kibiti au mkuranga utagundua waliolipwa ni wachache tena wenye vijikilo haba.
MWAMBIENI RAISI AWALIPE WATU KWAKUWA NI JASHO LAO.
haya ya kina msigwa sijui nini? mnatapatapa tuuu
Unajua idadi ya wakulima wa korosho?
Wasingekuwa wamelipwa umoja wao ungeuzuia na nini?

Semeni tu kwamba ambao hawajalipwa ni kangomba ndio maana hawawezi hata kuandamana maana matumbo yao na sura zao hazifanani na ukulima wa korosho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna unachojijua kuhusu korosho ,



Sent using Jamii Forums mobile app
kanunua korosho zote au hajanunua? wenye nyingi wamelipwa au hawajalipwa? waliolipwa na wasiolipwa wengi ni wepi? aliahidi kuzinunua kwa shilingi ngapi? akaja kununua kwa shilingi ngapi? zilishuka daraja zikiwa mikonon mwa nani? kuna unafiki zaidi ya huu wa MAGUFULI?
 
Unajua idadi ya wakulima wa korosho?
Wasingekuwa wamelipwa umoja wao ungeuzuia na nini?

Semeni tu kwamba ambao hawajalipwa ni kangomba ndio maana hawawezi hata kuandamana maana matumbo yao na sura zao hazifanani na ukulima wa korosho.

Sent using Jamii Forums mobile app
kijijini magawe hapo mkuranga hawajalipwa tuseme wote ni kangomba? wakulima waliandamana huko kusini wakapigwa na jeshi na haikuripotiwa popote tuseme wale walikuwa kangomba? je kweli wakulima wote wamelipwa? mnafiki mkubwa wewe
 
WAKATI WA KAMPENI NILILIONA BANGO HILI "MALOFA KATIKA UBORA WETU".

å Kadri siku zinavyokwenda naanza kuondoa lawama hizi kwa rais mstaafu kama muasisi Wa kauli hii, naamini kua aliwatamka vile kwa kuwafahamu na si kuwa dharilisha.

Naamini haya kupitia kauli za Mh. Peter Msigwa Kabla ya, wakati Wa na baada ya.

å KABLA LOWASSA HAJAIHAMA CCM.

" Atakae muunga Mkono LOWASSA akapimwe akili haraka"
~Peter Msigwa~

å BAADA YA LOWASSA KUJIUNGA CHADEMA( WAKAT WA KAMPEN)

"LOWASSA ndiye suluhisho la dhuluma na Maendeleo hafifu ya taifa hili tangu Uhuru, chagua LOWASSA chagua CHADEMA"
~Peter Msigwa~

å BAADA YA LOWASSA KURUDU NYUMBANI "CCM".

" Kama kunajambo la maana kubwa LOWASSA ameifanyia CHADEMA ni kuondoka CHADEMA kurudi CCM "
~Peter Msigwa~

Kwa maana hio nikwamba wafuasi wao wamewakabidhi viongozi vichwa vyao na kutaka wao wafikiri kwa niaba yao, hio ndio sababu wao kukosa msimamo Wa hoja zao, wapo tayari kuambiwa lolote bila kufikiri.
Kabla Mh. Mkapa hajafanya ubatizo huu matendo yao yalikwisha kosa uelekeo.
Na hio ndio tafsiri halisi ya neno na mtu LOFA.

"Tumia haki yako ya kuchagua ukipendacho, usiache mtu afikiri kwa niaba yako, kataa ULOFA kwa kuichagua CCM 2019/2020"


Sent using Jamii Forums mobile app
watanzania wote ni tabia yetu hata wewe mbona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila la polepole na msukuma hujaliona wala kusikia!!!
 
Topic ni Peter Msigwa

Sent using Jamii Forums mobile app
because Msigwa ni mkimbizi na Pole Pole na Msukuma ni watanzania!ni lazima tuwatenganishe maana topic ni ya Msigwa !!!,KWELI TUNA KAZI KUBWA YA KUSUBIRI,na ndio matokeo ya UPE na shule za kata za sekondari zilizoletwa kisiasa zaidi kuliko makusudio yake,kabla ya kufanya maandalizi makini kama kupata walimu bora,majengo bora pamoja na vifaa vyake,tulichokifanya na kusukuma watoto wote waende kwenye kitu kinachoitwa shule na matokeo yake ndio haya,kuja na uzi kama huu!,eti tumjadili Msigwa pekee na kumtenga na wengine wakati wote wapo kwenye issue moja.
 
Sisumbuki na wewe... nampa pole tu mzazi wako.
 
nadhani kati ya malofa yote ya ccm humu ndani basi wewe unaweza kuwa namba 1.kama sivyo basi tatu bora ya malofa ya lumumba utakuwepo.
umeenda huko kutafuta kauli moja tu afu unaconclude.
Listen siku moja moja jaribu kutoa mada yenye msaada kwa taifa.sio kila siku chadema chadema.unadharaulika.kuna mada nyingi anzisha za kumsaidia magufuli na serikali.sio vyama.vyama vinapita lakin taifa linaishi mpaka Mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ajira yake mkuu..na ndipo akili yake ilipoishia..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
because Msigwa ni mkimbizi na Pole Pole na Msukuma ni watanzania!ni lazima tuwatenganishe maana topic ni ya Msigwa !!!,KWELI TUNA KAZI KUBWA YA KUSUBIRI,na ndio matokeo ya UPE na shule za kata za sekondari zilizoletwa kisiasa zaidi kuliko makusudio yake,kabla ya kufanya maandalizi makini kama kupata walimu bora,majengo bora pamoja na vifaa vyake,tulichokifanya na kusukuma watoto wote waende kwenye kitu kinachoitwa shule na matokeo yake ndio haya,kuja na uzi kama huu!,eti tumjadili Msigwa pekee na kumtenga na wengine wakati wote wapo kwenye issue moja.
Msigwa ni mnafiki ? Ndiyo swali ,majibu yako ya kukimbilia shule za kata ni ulofa wako tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WAKATI WA KAMPENI NILILIONA BANGO HILI "MALOFA KATIKA UBORA WETU".

å Kadri siku zinavyokwenda naanza kuondoa lawama hizi kwa rais mstaafu kama muasisi Wa kauli hii, naamini kua aliwatamka vile kwa kuwafahamu na si kuwa dharilisha.

Naamini haya kupitia kauli za Mh. Peter Msigwa Kabla ya, wakati Wa na baada ya.

å KABLA LOWASSA HAJAIHAMA CCM.

" Atakae muunga Mkono LOWASSA akapimwe akili haraka"
~Peter Msigwa~

å BAADA YA LOWASSA KUJIUNGA CHADEMA( WAKAT WA KAMPEN)

"LOWASSA ndiye suluhisho la dhuluma na Maendeleo hafifu ya taifa hili tangu Uhuru, chagua LOWASSA chagua CHADEMA"
~Peter Msigwa~

å BAADA YA LOWASSA KURUDU NYUMBANI "CCM".

" Kama kunajambo la maana kubwa LOWASSA ameifanyia CHADEMA ni kuondoka CHADEMA kurudi CCM "
~Peter Msigwa~

Kwa maana hio nikwamba wafuasi wao wamewakabidhi viongozi vichwa vyao na kutaka wao wafikiri kwa niaba yao, hio ndio sababu wao kukosa msimamo Wa hoja zao, wapo tayari kuambiwa lolote bila kufikiri.
Kabla Mh. Mkapa hajafanya ubatizo huu matendo yao yalikwisha kosa uelekeo.
Na hio ndio tafsiri halisi ya neno na mtu LOFA.

"Tumia haki yako ya kuchagua ukipendacho, usiache mtu afikiri kwa niaba yako, kataa ULOFA kwa kuichagua CCM 2019/2020"


Sent using Jamii Forums mobile app
Usiquote maneno ya msigwa tu quote na maneno ya jamaa zako walioamua kumshawishi arudi ili arejeshewe Mali zake na mkwewe aachiwe kina polepole kina nape,kubwa lao alipokuwa akimkashifu kwa kupiga pushup wakati wa kampeni,bosi wako wa mkoa wa dar es salaaam .
 
Usiquote maneno ya msigwa tu quote na maneno ya jamaa zako walioamua kumshawishi arudi ili arejeshewe Mali zake na mkwewe aachiwe kina polepole kina nape,kubwa lao alipokuwa akimkashifu kwa kupiga pushup wakati wa kampeni,bosi wako wa mkoa wa dar es salaaam .
Ila umekubaliana na haya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu nijoin JF sijawahi kuona ukitoa hoja ya maana ndio maana nawapa pole wazazi wako
Wengine wote cdm mlikuwa wachumia tumbo,isipokuwa Dr Slaa peke yake aliyethubutu kukataa kwa vitendo na hoja! Wengine wote mlionekana mpo mpo tu mnasubiri maisha yaende,haya sasa mlimwita Rais wa mioyo sasa ameondoka na mioyo yake amewaachia mabandama na mapupu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom