Mbunge Peter Msigwa unaongoza kwa unafiki nchini

Huna unachojijua kuhusu korosho ,



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna unachojijua kuhusu korosho ,



Sent using Jamii Forums mobile app
wewe sio tu korosho hujui hata sshemu za mwli wa binadamu. nisijue kuhusu korosho kwani naishi mbinguni ama unadhani wote tunashinda kwenye keyboards tukisifu na kuabudu? haihitaji kwenda nachingwea wala naliendelele nenda kibiti au mkuranga utagundua waliolipwa ni wachache tena wenye vijikilo haba.
MWAMBIENI RAISI AWALIPE WATU KWAKUWA NI JASHO LAO.
haya ya kina msigwa sijui nini? mnatapatapa tuuu
 
Unajua idadi ya wakulima wa korosho?
Wasingekuwa wamelipwa umoja wao ungeuzuia na nini?

Semeni tu kwamba ambao hawajalipwa ni kangomba ndio maana hawawezi hata kuandamana maana matumbo yao na sura zao hazifanani na ukulima wa korosho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna unachojijua kuhusu korosho ,



Sent using Jamii Forums mobile app
kanunua korosho zote au hajanunua? wenye nyingi wamelipwa au hawajalipwa? waliolipwa na wasiolipwa wengi ni wepi? aliahidi kuzinunua kwa shilingi ngapi? akaja kununua kwa shilingi ngapi? zilishuka daraja zikiwa mikonon mwa nani? kuna unafiki zaidi ya huu wa MAGUFULI?
 
kijijini magawe hapo mkuranga hawajalipwa tuseme wote ni kangomba? wakulima waliandamana huko kusini wakapigwa na jeshi na haikuripotiwa popote tuseme wale walikuwa kangomba? je kweli wakulima wote wamelipwa? mnafiki mkubwa wewe
 
watanzania wote ni tabia yetu hata wewe mbona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila la polepole na msukuma hujaliona wala kusikia!!!
 
Topic ni Peter Msigwa

Sent using Jamii Forums mobile app
because Msigwa ni mkimbizi na Pole Pole na Msukuma ni watanzania!ni lazima tuwatenganishe maana topic ni ya Msigwa !!!,KWELI TUNA KAZI KUBWA YA KUSUBIRI,na ndio matokeo ya UPE na shule za kata za sekondari zilizoletwa kisiasa zaidi kuliko makusudio yake,kabla ya kufanya maandalizi makini kama kupata walimu bora,majengo bora pamoja na vifaa vyake,tulichokifanya na kusukuma watoto wote waende kwenye kitu kinachoitwa shule na matokeo yake ndio haya,kuja na uzi kama huu!,eti tumjadili Msigwa pekee na kumtenga na wengine wakati wote wapo kwenye issue moja.
 
Sisumbuki na wewe... nampa pole tu mzazi wako.
 
Ndio ajira yake mkuu..na ndipo akili yake ilipoishia..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msigwa ni mnafiki ? Ndiyo swali ,majibu yako ya kukimbilia shule za kata ni ulofa wako tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiquote maneno ya msigwa tu quote na maneno ya jamaa zako walioamua kumshawishi arudi ili arejeshewe Mali zake na mkwewe aachiwe kina polepole kina nape,kubwa lao alipokuwa akimkashifu kwa kupiga pushup wakati wa kampeni,bosi wako wa mkoa wa dar es salaaam .
 
Ila umekubaliana na haya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu nijoin JF sijawahi kuona ukitoa hoja ya maana ndio maana nawapa pole wazazi wako
Wengine wote cdm mlikuwa wachumia tumbo,isipokuwa Dr Slaa peke yake aliyethubutu kukataa kwa vitendo na hoja! Wengine wote mlionekana mpo mpo tu mnasubiri maisha yaende,haya sasa mlimwita Rais wa mioyo sasa ameondoka na mioyo yake amewaachia mabandama na mapupu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…