Pre GE2025 Mbunge Philip Mulugo Atangaza Rasmi Kugombea Ubunge Songwe

Pre GE2025 Mbunge Philip Mulugo Atangaza Rasmi Kugombea Ubunge Songwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Miaka mitano imeshaisha sasa miamba inaenda kuomba nafasi kwa miaka mitano mingine kisha wakapige makofi bungeni na kusisitiza kuwa vijana wajiajiri ilihali wao wamekomaliaga hapo tu.

===

Mbunge Mlugo ameaga rasmi katika Kikao cha Bodi ya Barabara kwa niaba ya wabunge wenzake, akihitisha kwa kutangaza kama Mwenyekiti wa Wabunge wa Mkoa wa Songwe kuwa kikao hicho ni cha mwisho kwao kabla ya uchaguzi mkuu ujao, Mlugo alieleza kuwa muda wa Bunge la sasa unakamilika kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wanaelekea kipindi cha uchaguzi 2025.
1739943977019.png

Katika kikao hicho, Mlugo pia alitangaza rasmi azma yake ya kugombea tena ubunge wa Wilaya ya Songwe kwa kipindi kingine, akieleza kuwa bado ana nia na dhamira ya kuwatumikia wananchi wa Wilaya ya Songwe

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akiangazia maendeleo ya mkoa, Mlugo alitumia fursa hiyo kumpongeza Mkuu wa Mkoa wa Songwe,Daniel Chongolo, kwa uongozi wake thabiti na wa amani. Alieleza kuwa tangu Chongolo aingie madarakani, hakujawahi kutokea mgogoro uliosababisha viongozi wa kisiasa kama wabunge au madiwani kuwekwa ndani. Badala yake, changamoto zilizojitokeza zimeshughulikiwa kwa njia ya majadiliano, hali inayodhihirisha uongozi wa hekima na mshikamano.
 
Miaka mitano imeshaisha sasa miamba inaenda kuomba nafasi kwa miaka mitano mingine kisha wakapige makofi bungeni na kusisitiza kuwa vijana wajiajiri ilihali wao wamekomaliaga hapo tu.

===

Mbunge Mlugo ameaga rasmi katika Kikao cha Bodi ya Barabara kwa niaba ya wabunge wenzake, akihitisha kwa kutangaza kama Mwenyekiti wa Wabunge wa Mkoa wa Songwe kuwa kikao hicho ni cha mwisho kwao kabla ya uchaguzi mkuu ujao, Mlugo alieleza kuwa muda wa Bunge la sasa unakamilika kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wanaelekea kipindi cha uchaguzi 2025.
View attachment 3241523
Katika kikao hicho, Mlugo pia alitangaza rasmi azma yake ya kugombea tena ubunge wa Wilaya ya Songwe kwa kipindi kingine, akieleza kuwa bado ana nia na dhamira ya kuwatumikia wananchi wa Wilaya ya Songwe

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akiangazia maendeleo ya mkoa, Mlugo alitumia fursa hiyo kumpongeza Mkuu wa Mkoa wa Songwe,Daniel Chongolo, kwa uongozi wake thabiti na wa amani. Alieleza kuwa tangu Chongolo aingie madarakani, hakujawahi kutokea mgogoro uliosababisha viongozi wa kisiasa kama wabunge au madiwani kuwekwa ndani. Badala yake, changamoto zilizojitokeza zimeshughulikiwa kwa njia ya majadiliano, hali inayodhihirisha uongozi wa hekima na mshikamano.
Na yeye anaenda kisamia Samia eti(apitishwe bila kupingwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa Jimbo/wilaya ). Hawa wahuni wa kazi Gani??
 
Miaka mitano imeshaisha sasa miamba inaenda kuomba nafasi kwa miaka mitano mingine kisha wakapige makofi bungeni na kusisitiza kuwa vijana wajiajiri ilihali wao wamekomaliaga hapo tu.

===

Mbunge Mlugo ameaga rasmi katika Kikao cha Bodi ya Barabara kwa niaba ya wabunge wenzake, akihitisha kwa kutangaza kama Mwenyekiti wa Wabunge wa Mkoa wa Songwe kuwa kikao hicho ni cha mwisho kwao kabla ya uchaguzi mkuu ujao, Mlugo alieleza kuwa muda wa Bunge la sasa unakamilika kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wanaelekea kipindi cha uchaguzi 2025.
View attachment 3241523
Katika kikao hicho, Mlugo pia alitangaza rasmi azma yake ya kugombea tena ubunge wa Wilaya ya Songwe kwa kipindi kingine, akieleza kuwa bado ana nia na dhamira ya kuwatumikia wananchi wa Wilaya ya Songwe

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akiangazia maendeleo ya mkoa, Mlugo alitumia fursa hiyo kumpongeza Mkuu wa Mkoa wa Songwe,Daniel Chongolo, kwa uongozi wake thabiti na wa amani. Alieleza kuwa tangu Chongolo aingie madarakani, hakujawahi kutokea mgogoro uliosababisha viongozi wa kisiasa kama wabunge au madiwani kuwekwa ndani. Badala yake, changamoto zilizojitokeza zimeshughulikiwa kwa njia ya majadiliano, hali inayodhihirisha uongozi wa hekima na mshikamano.
hii kichwa ndio iliwahisema Tanzania ni muungano wa Tanganyika na zimbabwe.
 
🤣🤣🤣🤣 mligo si aliwahi litia aibu taifa kwa English yake au nimefananisha.
 
Sawa sawa nenda kapiganie tumbo lako

Ova
 
Hapo angesema "bado nina dhamira ya kutumikia Wanainchi...kwa sababu kwa huku kwetu ukitumikia Wananchi wewe ndio mnufaika namba moja kwa miaka mitano..tofauti kabisa na nikiwekeza kwenye shughuli nyingine zisizotabirika...Songwe hoye".
 
Huyu mtu ni mbunge kwa zaidi ya miaka 20, kuna nini hajafanya kwa miaka 20 anataka aongezwe?
 
Miaka mitano imeshaisha sasa miamba inaenda kuomba nafasi kwa miaka mitano mingine kisha wakapige makofi bungeni na kusisitiza kuwa vijana wajiajiri ilihali wao wamekomaliaga hapo tu.

===

Mbunge Mlugo ameaga rasmi katika Kikao cha Bodi ya Barabara kwa niaba ya wabunge wenzake, akihitisha kwa kutangaza kama Mwenyekiti wa Wabunge wa Mkoa wa Songwe kuwa kikao hicho ni cha mwisho kwao kabla ya uchaguzi mkuu ujao, Mlugo alieleza kuwa muda wa Bunge la sasa unakamilika kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wanaelekea kipindi cha uchaguzi 2025.
View attachment 3241523
Katika kikao hicho, Mlugo pia alitangaza rasmi azma yake ya kugombea tena ubunge wa Wilaya ya Songwe kwa kipindi kingine, akieleza kuwa bado ana nia na dhamira ya kuwatumikia wananchi wa Wilaya ya Songwe

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akiangazia maendeleo ya mkoa, Mlugo alitumia fursa hiyo kumpongeza Mkuu wa Mkoa wa Songwe,Daniel Chongolo, kwa uongozi wake thabiti na wa amani. Alieleza kuwa tangu Chongolo aingie madarakani, hakujawahi kutokea mgogoro uliosababisha viongozi wa kisiasa kama wabunge au madiwani kuwekwa ndani. Badala yake, changamoto zilizojitokeza zimeshughulikiwa kwa njia ya majadiliano, hali inayodhihirisha uongozi wa hekima na mshikamano.
Huyo kilaza bado ni mbunge? Ina maana Songwe yote huyo ndio mtu mwenye akili?
 
Back
Top Bottom