the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
- Thread starter
- #21
Mapenzi ya wanasongwe kwa ndugu yao kakaHuyu mtu ni mbunge kwa zaidi ya miaka 20, kuna nini hajafanya kwa miaka 20 anataka aongezwe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapenzi ya wanasongwe kwa ndugu yao kakaHuyu mtu ni mbunge kwa zaidi ya miaka 20, kuna nini hajafanya kwa miaka 20 anataka aongezwe?
Viongozi wa CCM ni washirikina snUnadhani kauli ya chalamila, RC aliposema ipo siku atatokea makamu wa rais mchawi akamroga rais ni ya uongo? Ndicho wateule wa rais na wengine wengi wanashinda wanaroga wanapewa nafasi ambazo hawana nazo uwezo.
Hakuna kitu kama hicho, ndiyo hawa akina Lucas Mwashambwa hawana akili kabisaMapenzi ya wanasongwe kwa ndugu yao kaka
Songwe mwenye Akili ni Lucas Mwashambwa 😀Huyo kilaza bado ni mbunge? Ina maana Songwe yote huyo ndio mtu mwenye akili?
Kwanza ni Mwl kwanini asiende kufundisha sekondary? nako sikutumikia wananchiHapo angesema "bado nina dhamira ya kutumikia Wanainchi...kwa sababu kwa huku kwetu ukitumikia Wananchi wewe ndio mnufaika namba moja kwa miaka mitano..tofauti kabisa na nikiwekeza kwenye shughuli nyingine zisizotabirika...Songwe hoye".
Ndiyo maana Songwe ni masikini sn imejaa majitu majinga aina ya Lucas MwashambwaSongwe mwenye Akili ni Lucas Mwashambwa 😀
Nenda kwake uombe akufundishage ili angalau upate akili hata za kuvukia barabaraKwanza ni Mwl kwanini asiende kufundisha sekondary? nako sikutumikia wananchi
Awafundishe kwamba Zanzibar ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe? Alisemaga Sadam Hussein ni Rais wapi vile?Kwanza ni Mwl kwanini asiende kufundisha sekondary? nako sikutumikia wananchi
Kama ndiyo mbunge wako yule ndiyo maana hata wewe huna akiliNenda kwake uombe akufundishage ili angalau upate akili hata za kuvukia barabara
Lukasi akachukue jimbo basiHakuna kitu kama hicho, ndiyo hawa akina Lucas Mwashambwa hawana akili kabisa
Ndiyo maana hata Lucas Mwashambwa hana akili kumbe chanzo ni mbunge hana akiliAwafundishe kwamba Zanzibar ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe? Alisemaga Sadam Hussein ni Rais wapi vile?
Na UWT amuachie nani?Lukasi akachukue jimbo basi
Kwani Lucas ni ke?Na UWT amuachie nani?
Sasa ataimba mapambio hai lini?Na UWT amuachie nani?
Si hana akiliSasa ataimba mapambio hai lini?