Mbunge Rose Cprian Tweve ajitolea kutunza kituo cha watoto Yerusalemu, Wilaya ya Mufindi

Mbunge Rose Cprian Tweve ajitolea kutunza kituo cha watoto Yerusalemu, Wilaya ya Mufindi

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mhe. Rose Cprian Tweve amekuwa chachu ya maendeleo kwa wananchi wenzake kwa kujitolea kutoa matunzo na mahitaji yote muhimu kwenye kituo cha watoto cha Yerusalemu.​

"Mimi kama Mwenyekiti wake Rose wa UWT Wilaya ya Mufindi nampongeza sana Rose kwa kazi kubwa anayoifanya kwenye kituo hiki, kwa kweli ni kazi kubwa anayoifanya kwenye jamii yake nyumbani kwake" - Mwenyekiti UWT Wilaya ya Mufindi

"Mhe. Rose ameweka watumishi watatu, anawalipa kila mwezi wanaofanya huduma ya kufua nguo za watoto, kuhakikisha watoto wanakuwa wasafi, wanakula vizuri; Mungu ambariki kwa kufanya mambo makubwa sana" - Mwenyekiti UWT Wilaya ya Mufindi

"Tunaendelea kumshukuru Mhe. Rose Tweve ambaye anaendelea kujitoa kwa michango yake na sadaka zake mbalimbali katika kituo hiki hasa katika kutusaidia kuwalea hawa watoto wa kituo hiki cha Yerusalem" - Dada na Mlezi wa Kituo cha watoto Yerusalemu

"Mungu ambariki na aendelee zaidi kumuongezea pale ambapo anapunguza.

Rose Tweve ameweza kutusaidia kusomesha watoto, Vyakula, Mavazi, Malazi na Magodoro. Bado anaendelea kusaidia ili kituo kiwe na usafiri wao wa gari kwenda shuleni wanaposoma" - Dada na Mlezi wa Kituo cha watoto Yerusalemu
 
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mhe. Rose Cprian Tweve amekuwa chachu ya maendeleo kwa wananchi wenzake kwa kujitolea kutoa matunzo na mahitaji yote muhimu kwenye kituo cha watoto cha Yerusalemu.​

"Mimi kama Mwenyekiti wake Rose wa UWT Wilaya ya Mufindi nampongeza sana Rose kwa kazi kubwa anayoifanya kwenye kituo hiki, kwa kweli ni kazi kubwa anayoifanya kwenye jamii yake nyumbani kwake" - Mwenyekiti UWT Wilaya ya Mufindi

"Mhe. Rose ameweka watumishi watatu, anawalipa kila mwezi wanaofanya huduma ya kufua nguo za watoto, kuhakikisha watoto wanakuwa wasafi, wanakula vizuri; Mungu ambariki kwa kufanya mambo makubwa sana" - Mwenyekiti UWT Wilaya ya Mufindi

"Tunaendelea kumshukuru Mhe. Rose Tweve ambaye anaendelea kujitoa kwa michango yake na sadaka zake mbalimbali katika kituo hiki hasa katika kutusaidia kuwalea hawa watoto wa kituo hiki cha Yerusalem" - Dada na Mlezi wa Kituo cha watoto Yerusalemu

"Mungu ambariki na aendelee zaidi kumuongezea pale ambapo anapunguza.

Rose Tweve ameweza kutusaidia kusomesha watoto, Vyakula, Mavazi, Malazi na Magodoro. Bado anaendelea kusaidia ili kituo kiwe na usafiri wao wa gari kwenda shuleni wanaposoma" - Dada na Mlezi wa Kituo cha watoto Yerusalemu

Kwani huwa watu hawawezi kusaidia hawa watoto yatima na wasiojiweza na kuwatangaza?
Kujifanya wanatoa misaada kumbe wanatafuta huruma za kura. Stupid!
 
Kwani huwa watu hawawezi kusaidia hawa watoto yatima na wasiojiweza na kuwatangaza?
Kujifanya wanatoa misaada kumbe wanatafuta huruma za kura. Stupid!
Hayo ni mawazo yako, kufanya hivyo ni njia ya kuwashawishi na kuikumbusha jamii kuwa tuwasdie wasiojiweza
 
Back
Top Bottom