Mbunge Sadifa alalamika, asema Wastara alimloga

Huyo

Hivi Mheshimiwa Mbunge anaamini kurogwa? Hii ndo 'Dinyalile Dinyale'. Ipo kaaaazi!
Yeye mwenyewe ni mtaalam wa ugagula.
Dakika chache kabla ya kutangazwa kuwa ndiyo mshindi wa nafasi ya mwenyekiti wa UVCCM alisikika akiongea na Simu akimuagiza mtu aliyeko zenji akimsisitisa afungulie majini yote kwani mambo sio mazuri nguvu zinamuishia.
 
Ya dunia mengi na yanahitaji uvumilivu guys,, Wastara needs courage, Mungu amsimamie
 
Uwezi ukawa kada mzuri wa CCM kisha ukawa mkweli.

Sadifa mwanaccm
Wastala mwanaccm.

Aaaahhh hiyo ndoa ya mume mrombo na mke mmachame
 
wastara ni pretender mkubwa sanaaa, kwa wasiomjua waweza kumuonea huruma na kuamini mambo yake lakini sio mtu huyo, alikuwa anamchukulia huyo bwana kama hawara na sio mme! alafu anapenda kuolewa kuliko mwanamke yetote hapo bongo movie! tulia ulee watoto wewe mama
 
Jamaa kaongea kimipasho sana! Hivi Mwanaume wa Kweli unawezaje kufunguka hivyo?
 
Mambo Vipi cheupe dawa!
 
JIBU LA HAYO YOOOTE NI HILO ULILOSEMA MWENYEWE, HUYO ALIFUATA PESA
 
Hivi ikiwa hata habari za demu wangu hata mshikaji wangu siwezi kumwambia kama naona ni za mambo ya hovyo, sasa inakuwa kuwa vp watu waliokuwa kwenye ndoa wanaanza kuanikana hadharani bila kujali wayasemayo ni ya kweli au c kweli?! Sasa kesho na kesho kutwa mnarudiana wakati dume zima ushatangaza hadharani kwamba huyo unayemrejea anamegwa na mababu!!
 
Chezeya pesa wewe....utarogwa huku unajiona.Ila hawa watu wapole wapole, wanaopenda kujiliza liza huwa wana 'behind the scene' zao matata sana.
Umeongea ukweli mtupu huwa wana roho mbaya sana hao,wanaitwa silence killer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…