beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Tunza Malapo (Viti Maalum) amesema Mkoani Mtwara Soko la Chuno limejengwa kwa Bilioni 5.5 katika eneo ambalo ni tofauti na mwelekeo wa watu wengi akieleza, "Unaweza kujiuliza aliyependekeza Soko lijengwe kule alikuwa anawaza kitu gani? Maana yake ni Bilioni 5.5 zimelala pale hazina tija"
Aidha, Mbunge Kunti Majala naye amesema changamoto hiyo haina tofauti na ya Soko la Jiji la Dodoma ambalo limejengwa eneo la Nzuguni wakati Kata nyingi zipo upande wa Magharibi akisisitiza, "Wataalamu katika Miradi hii wanapoteza Kodi za Watanzania pasipo na tija"
Aidha, Mbunge Kunti Majala naye amesema changamoto hiyo haina tofauti na ya Soko la Jiji la Dodoma ambalo limejengwa eneo la Nzuguni wakati Kata nyingi zipo upande wa Magharibi akisisitiza, "Wataalamu katika Miradi hii wanapoteza Kodi za Watanzania pasipo na tija"