Mbunge: Serikali izingatie mambo yenye tija kwa Vijana

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Mbunge Judith Kapinga ametoa wito kwa Wizara inayosimamia masuala ya Vijana kusaidia Wizara nyingine kuona mambo yenye tija mwa Vijana

Amesema masuala yanayohusu Vijana yanahitaji kuchukuliwa kwa tahadhari na umakini kwasababu changamoto ya Ajira ni kubwa

Ameongeza, changamoto ya Ajira inazikumba Nchi nyingi Afrika na duniani kote, lakini tofauti pekee kwa Nchi zenye changamoto hiyo ni namna/hatua zinazochukuliwa kutatua tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…