Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,839
Hii nchi IPO kwenye autopilot! Unategemea nini?
IFaida ya kushusha bei ya mafuta ilikuwa na bei ya vitu vingine vishuke kuleta unafuu wa maisha.
Lakini sasa kama tunaambiwa kushusha bidhaa zingine inahitaji mchakato mrefu ,kwa kweli inasikitisha sana