kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Tutapigwa kama zamani watu watachota mabilioni mengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inashangaza, alipoingia tu Makamba, umeme unakatika hovyo hovyoTutapigwa kama zamani watu watachota mabilioni mengi sana
Ndiyo kwanza inakata kona UholanziHilo crane linakuja lini?
Yuko wapi huyo mbunge mpuuzi kupata kutokea atupe majibu kwa muda huu alishajifungua ujauzito wake au bado!Tangu niliposikia kauli ya Mbunge Sospiere Mukweli akisema kwamba ujenzi wa mabwawa ya kufua umeme kwa sasa yamepitwa na wakati, akili yangu imevurugika kabisa nisielewe nini kinaendelea kichwani mwa wabunge wetu, nimeogopa sana.
Na hii imekuja baada ya ile kauli ya hayati Rais John Joseph Pombe Magufuli ya kwamba mtu anayeweza kukubali masharti ya mkataba wa Bandari ya Bagamoyo ni mlevi tu (aliyechanganyikiwa) kudhihirika kwa mbunge Kazi Ndugu gay; nimetetemeka sana.
Kuhusu suala la mabwawa ya kufua umeme kuwa yamepitwa na wakati, niseme tu out right, bila uwoga wala aibu, ni uwendawazimu, hakuna sane person katika hii dunia, let alone a professor, anaweza kutoa ile kauli, nawahakikishia, zungukeni hii dunia yote, hakuna binadamu mwingine hata mmoja anaweza kukubaliana na hiyo kauli, nitaeleza kwanini.
1) Dunia kwa sasa inapambana kwa nguvu zote na tatizo la ‘Global warming’, katika vita hii, mbinu kubwa inayotumika ni kupunguza matumizi ya nishati zinazozalisha hewa ya ukaa (fossil fuels), na badala yake wanahimiza matumizi ya ‘renewable energy sources’ ambazo ni ‘sustainable’ na hazizalishi hewa za ukaa (greenhouse gases) na hivyo kupunguza kasi ya mabadiliko ya tabia nchi.
Renewable sources zinazohimizwa ni kama Nishati ya upepo ‘Wind turbines/mills), Nishati joto (Geothermal), Nishati jua (Solar energy) nk; lakini kubwa na yenye uhakika zaidi ni umeme wa nguvu ya maji (Hydroelectric power/ HEP) kama hii tunayojenga sisi.
Na ndio maana ifikapo mwaka 2030, nchi nyingi hasa za ulaya, zimepanga kupiga marufuku magari yanayotumia ‘fossil fuels’ na badala yake wataruhusu gari za umeme tu. Sasa mniambie, with all due respect, na sina nia ya kumvunjia mtu heshima, hivi, mtu anaesema umeme wa nguvu ya maji umepitwa na wakati, yuko sawa katika utimamu kamilifu wa fahamu zake?!
2.) Nchi zote zinazokua kiuchumi zinategemea viwanda imara vyenye ufanisi na tija katika uzalishaji kiasi viweze kushindana katika soko la ndani na soko la kimataifa. Pia inafahamika, nishati ya uhakika na ya bei nafuu ndio kiungo muhimu katika kufanikisha uimara na ufanisi wa viwanda vyenye tija ya uzalishaji. Katika vyanzo vya umeme salama na vyenye gharama nafuu zaidi katika uzalishaji ni umeme utokanao na nguvu ya maji, hata taahira anaekota makopo majalalani anaujua ukweli huu, sembuse Profesa?!
Hivyo basi, kwa kauli mbiu ile ile ya Hayati Rais John Joseph Pombe Magufuli ya uchumi imara utajengwa na viwanda (Tanzania ya viwanda),na wote tunafahamu ile multiplier effect ya uwepo wa viwanda, kuanzia ajira, ukusanyaji kodi nk; sasa sioni ni namna gani mtu mwenye ukamilifu wote katika fahamu zake, anaweza kusema kwamba uzalishaji umeme kwa mabwawa umepitwa na wakati, no way!
3) Mabwawa ya kufua umeme huwa hayatumiki kwa ajili ya kufua umeme tu pekee yake, haya mabwawa hutoa chanzo cha uhakika cha maji kwa ajili ya shughuli mbalimbali kwa ajili ya kilimo na matumizi mengine ya binadamu na mifugo, ambapo bila uwepo wa bwawa, hayo maji yangemwagikia tu baharini huku wanachi wakibaki na uhaba wa maji bila sababu ya msingi, na wote tunajua multiplier effect itokanayo na kilimo cha uhakika (irrigation) tofauti na kilimo cha kubahatisha mvua. Hivyo mabwawa ya kufua umeme hayawezi kuwa yanepitwa na wakati, no way!!!
Naoendekeza huyo Profesa aende bungeni kwa magoti na kuomba msamaha kwa kauli yake ya kinafiki, na aeleze, ni kwanini amefanya vile??! Kitu kibaya sana amefanya huyu mzee, WaTanzania kwanini mnamkalia kimya huyu mtu, ashikiwe bango akaombe msamaha!
Na bado Bwana Kazi Ndugu gai...
Sasa je, kuna umuhimu wa kidharura wa kuwapima akili wabunge wote?!
=================================
Update: 12/12/2021
- Inaumiza sana kuona mradi wa bwawa la Nyerere unahujumiwa wazi wazi
PIA SOMA
- Arab Contractors na Elsewedy Electric Kukabidhiwa Rasmi Eneo la Rufiji (PHPP) Kesho
- Arab Contractors wakabidhiwa Billion 688.6 kama malipo ya awali mradi wa umeme wa maporomoko ya mto Rufiji
- Serikali Yakabidhi Eneo La Mradi Wa Umeme Wa Maji Mto Rufiji Kwa Mkandarasi Tayari Kwa Kazi Kuanza
- Rais Magufuli kuzindua mradi wa umeme Mto Rufiji Julai 26, 2019
- SADC yamuunga mkono Rais Dkt Magufuli ujenzi wa mradi mkubwa wa umeme Rufiji
- Uzinduzi Mradi wa Umeme, mto Rufiji: Rais Magufuli aagiza sehemu ya Selous kuwa Hifadhi ya Taifa
- Mbunge Sospiere Mukweli ameniogopesha kwa kauli yake kuhusu ujenzi wa bwawa la Rufiji; je, kuna haja ya wabunge wote kupimwa akili?
- Mradi wa Kufua Umeme Rufiji (MW 2115) uchimbaji kina cha lango la kuingilia maji kwenye mitambo wakamilika
- Kampuni ya ElSewedy Electric Co inayotengeneza bwawa la umeme Rufiji imewekewa vikwazo, haitaweza kukopesheka nje
- Waziri Makamba: Msitegemee wala kutarajia bwawa la mto Rufiji kujazwa maji mwezi Machi
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa asema Serikali itaendelea kutoa fedha kwa ajili ya mradi wa umeme wa mto Rufiji
- Dkt. Mpango: Mkandarasi wa Bwawa la Nyerere Hana Uzoefu, pia mradi upo nyuma ya muda
- Waziri Makamba: Ujenzi wa tuta kwenye bwawa la mwl Nyerere umekamilika
- Maji katika bwawa la Nyerere kuanza kujazwa 15/11/2021 na 13/04/2022 litakuwa limejaa tayari kwa majaribio
- PM Majaliwa: Bwawa la umeme kukamilika Juni 2022
- Tanesco:- Bwawa la Nyerere litakuwa na uwezo wa kuzalisha umeme Megawati 2115 hata kama mvua haijanyesha kwa miaka 2
- Waziri Kalemani: Bwawa la Nyerere kujazwa Maji Novemba 15, 2021. Umeme wa maji ni nafuu kuliko wa vyanzo vingine
- Kutokukamilika kwa Mradi wa Umeme Rufiji mwaka 2022 kama ilivyotakiwa na sasa Kukamilika 2024 ni Kumtukana na Kumdhalilisha Hayati Dkt. Magufuli
- Rais Samia kuzindua zoezi la ujazaji maji katika Bwawa la Julius Nyerere, Disemba 22
- Makamba: Ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Mwalimu Nyerere umefikia asilimia 67
- Makamba: Sisi tumeamua kuwa wakweli, bwawa la Nyerere linaisha Juni 2024. Adai tarehe ya mwanzo isingewezekana kwa namna yoyote
- Makamba: Itachukua misimu miwili ya mvua kujaza Bwawa la Nyerere
- Maji yatakayojazwa Bwawa la Nyerere (JNHPP) yanaweza kuzalisha Umeme kwa mwaka mmoja bila kutegemea mvua
- Rais Samia akishiriki shughuli ya kuanza kujaza maji Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP), 22/12/2022
- TANESCO: Bwawa la Nyerere halitapunguza bei ya umeme
- Serikali: Mashine ya kwanza ya Kufua Umeme Bwawa la Nyerere itawashwa Mwezi Februari 2024
- Rais Samia: Uzalishaji Umeme Bwawa la Nyerere kuanza Januari 2024
- TANESCO: Bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP) kuhusishwa na athari za mafuriko ya Kibiti na Rufiji ni kupotosha Umma
- Kamati ya Bunge: Bwawa la Nyerere litakamilika Juni 2024, Tsh. Trilioni 5.85 zimelipwa tayari
- Biteko: Shida ya umeme sasa basi, megawati 235 zimeingia Grid ya Taifa
- Rais Samia: Suluhu ya Umeme itapatikana Aprili 2024 baada ya kuanza uzalishaji wa Megawatt 470-500 katika Bwawa la Mwalimu Nyerere!
- Dotto Biteko: Tumezima mtambo wa bwawa la Mwl Nyerere
- TANESCO: Bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP) kuhusishwa na athari za mafuriko ya Kibiti na Rufiji ni kupotosha Umma
- Profesa Tibaijuka: Mafuriko ya Rufiji hayajasababishwa na Ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ila limeshindwa kuregulate mafuriko!
- Mtambo wa pili bwawa la Nyerere kuwashwa, kumaliza kabisa mgao wa umeme nchini
TUHUMA ZA UFISADI NA HUJUMA
- Mtaalam: Watanzania mnadanganywa Stiglers Gorge haiwezekani kwani Kina cha Maji Mto Rufiji kinapungua mno
- Hatma ya mradi Stiegler’s Gorge: Hatakama hatukubaliana kiitikadi, tukubaliane katika Ushauri wa kitaalam
- Hotuba ya bajeti Nishati; Miradi ya Rufiji na gesi itaumiza nchi: Mnyika aonya
- Tuambiwe ukweli: Stiglers Gorge inaweza kuwa maafa makubwa kwa taifa badala ya furaha
- Lissu: Serikali na benki hazina uwezo wa kujenga bwawa la Umeme Rufiji
- CAG: Bwawa la Nyerere liliharakiswa
- Polepole: Bwawa la Nyerere ni mradi wa kufa na kupona hatutakubali wahuni wauchezee, Winchi ni kitu kidogo sana!
- Inaumiza sana kuona mradi wa bwawa la Nyerere unahujumiwa wazi wazi
- Unakataje miti milioni 4 ili kujenga la umeme (JNHPP)
- Makamba: Mradi wa JNHPP upo nyuma kwa siku 477 (yaani mwaka na zaidi ya siku 100)
- UFISADI: Mpina aibua tuhuma za upigaji wa Sh. Trilioni 1.5 Bwawa la Nyerere
HISTORIA
- Mradi wa kufua umeme wa maji wa Julius Nyerere katika maporomoko ya mto rufiji unaotekelezwa na Serikali uliasisiwa na Baba wa Taifa mwaka 1975
- CAG: Mradi wa Umeme wa Bwawa la Nyerere unatumia upembuzi wa mwaka 1970
- Mhandisi Mkazi, Upembuzi yakinifu wa 1980 unatumika bwawa la JNHPP
- Mwalimu Nyerere aliomba fedha Mradi wa Bwawa la Umeme Rufiji