mwakijembe
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 1,664
- 2,324
Hapana, Sugu sio kilaza. Ni mwanasiasa wa kweli na mmoja wa vijana wanaotakiwa kuandikwa kwenye vitabu vya historia ya nchi yetu. Akiongeza elimu tu kidogo na kuwa na sifa rasmi za kitaaluma, basi anaweza kufaa kuwa top diplomat wa nchi yetu.
Mkuu kuwa kiongozi hapa Tanzania kuna hitaji hiyo elimu ya vyeti? Si ndio hayo hayo y kupata elimu ya darasani kwa kiingereza kisha mtu hata kuongea robo saa kwa kiingereza inakuwa kinyaa? Ili uandikwe kwenye vitabu vya historia ya nchi hii ni lazima uwe mwanaccm? Mbona una Ushawishi wa kitoto mno?