Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya, Mhe. Suma Fyandomo ametoa pongezi kwa ushindi mnono alioupata Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson na kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU)
"Pongezi za dhati kwa Spika wa Bunge letu, Mhe. Dkt. Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU). Ushindi huu ni ushuhuda wa kazi kubwa unayoendelea kuifanya na imani wajumbe waliyonayo juu yako na nchi yetu" - Mhe. Suma Fyandomo, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya
Itakumbukwa kuwa, Mhe. Spika Dkt. Tulia Ackson ameshinda kwa kishindo kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) kwa kupata kura 172 dhidi ya wagombea wengine kutoka Somalia ๐ธ๐ด (Kura 11), Senegal ๐ธ๐ณ (59) na Malawi ๐ฒ๐ผ (61).
Mhe. Suma Fyandomo amehitimisha salamu zake za Pongezi kwa kusema, "Mungu Ibariki Tanzania ๐น๐ฟ. Mungu Mbariki Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mungu Mbariki Mhe. Dkt. Tulia Ackson.
"Pongezi za dhati kwa Spika wa Bunge letu, Mhe. Dkt. Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU). Ushindi huu ni ushuhuda wa kazi kubwa unayoendelea kuifanya na imani wajumbe waliyonayo juu yako na nchi yetu" - Mhe. Suma Fyandomo, Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya
Itakumbukwa kuwa, Mhe. Spika Dkt. Tulia Ackson ameshinda kwa kishindo kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) kwa kupata kura 172 dhidi ya wagombea wengine kutoka Somalia ๐ธ๐ด (Kura 11), Senegal ๐ธ๐ณ (59) na Malawi ๐ฒ๐ผ (61).
Mhe. Suma Fyandomo amehitimisha salamu zake za Pongezi kwa kusema, "Mungu Ibariki Tanzania ๐น๐ฟ. Mungu Mbariki Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mungu Mbariki Mhe. Dkt. Tulia Ackson.