Mbona toka akiwa CDM alikuwa akifanya siasa za utetezi? ni muongeaji mzuri.
Alipokua chadema alikua moto yule jamaa, alimpelekesha ngeleja na kinachomsaidia sengerema wanamkubali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona toka akiwa CDM alikuwa akifanya siasa za utetezi? ni muongeaji mzuri.
Hongera sana kwa kupambanaIlikua kitambo sana niliachana nayo
Hiyo ni balaaaHizo sio ajira isipokua kuna idadi ya walimu 6000 waliostaafu, waliokufa na walioacha ajira hivo hiyo ni replacement ya kawaida. Mahitaji ya walimu ni makubwa shule nyingi hazina walimu mfano geita huko shule ina watoto karibu 600 darasa la kwanza hadi la saba na kuna walimu wawili tu, sijui umeelewa au bado?
Hizo sio ajira isipokua kuna idadi ya walimu 6000 waliostaafu, waliokufa na walioacha ajira hivo hiyo ni replacement ya kawaida. Mahitaji ya walimu ni makubwa shule nyingi hazina walimu mfano geita huko shule ina watoto karibu 600 darasa la kwanza hadi la saba na kuna walimu wawili tu, sijui umeelewa au bado?
Wanajenga SGR kwanza ajira badaeMbunge wa Jimbo la Sengerema (CCM), Hamis Hussein Tabasamu, amesema licha ya uwepo wa upungufu wa walimu na waliosomea kuwepo mitaani, Serikali imekuwa haitoi Ajira...
Duh! Hana legacy yoyote sengeremaKwa kweli Ngeleja sijui aliwahi kulifanyia nini hilo jimbo.
naijua shule yake 1 inaitwa tabasamu imepakana na nyasaka Islamic kule nyasaka,nilikuwa nikitoka kupiga pindi nyasaka Islamic nakwenda pale shuleni kwake kupoteza muda,kulikuwa kuna mji unaonekana kwa mbali sana nikipenda kuutazama muda wa jioni,ila sikuwahi kujua ni mji gani hadi nahama kule kuja kwetuYule ni mmiliki wa shule , ana shule zake , ni mdau wa Elimu Sana , hii serikali ya kijiwe jiwe inawaza madege tu. Ndo mana tunatofautiana kwenye kifo cha Magufuli , wengine wanaskitika wengine watafurah tu.
Mbunge wa Jimbo la Sengerema (CCM), Hamis Hussein Tabasamu, amesema licha ya uwepo wa upungufu wa walimu na waliosomea kuwepo mitaani, Serikali imekuwa haitoi Ajira
Amesema, "Mimi nafikiri Mtaala wa Ualimu ufutwe katika Vyuo Vikuu kwasababu watu wanapelekwa kusomea Ualimu lakini wanaendelea kuwepo mitaani
Ameongeza, "Watu wanaenda kusomea Ualimu, una upungufu hautaki kuajiri. Hawa Vijana wetu itakuwaje? Upungufu tunao, lakini hamtaki kuajiri mnakuja na Ajira 6,000. Mimi nashindwa kuelewa hilo jambo"
Manake kama anazo shule huwa akitangaza kazi 3Wanaaply lakimoja anajua kuna wimbi kubwa la vijana mtaaniYule ni mmiliki wa shule , ana shule zake , ni mdau wa Elimu Sana , hii serikali ya kijiwe jiwe inawaza madege tu. Ndo mana tunatofautiana kwenye kifo cha Magufuli , wengine wanaskitika wengine watafurah tu.