Viti maalumu wanaishi kwa mashindano wazee w fursa wanawamega 2,inamaana jamaa akili yke ilirudi akaona anaowa chawote pia amri kwenye nyumba hana.
Unakaa kwa mwanamke hata kubweka huwezi ndio akaona heri aingie chaka.
Amemtia gundu mwenzake mana alijua anaolewa atabaki kucheza kwaito kwenye sherehe z wenzake tu
Hata mimi ningeweka kipingamizii tuuu, su ni mme wakeeee
Nani akubali chaka la simba?mbona mle bungeni hajaolewa na mbunge mwenzie,wenzao mle wapo wanaoana!mchafu sana huyu dada na atapasikia tu altareni na kiapo kitukufu kwenye tv
desperadoo ni noma isee, big up kwa shyrose banji yeye anaingiaga mikataba ya kugegedana tu na si vinginevyo.Hamjakutana na wanawake desperate na ndoa....ukute maandalizi yote hayo jamaa hajawahi hata ku propose...kwa nini agharimie hivyo na kutangaza kupita maelezo...usicheze na desperadooooo
Tusimuhukumu bure mzee wa kuchepuka 'mpaka atoke tamko'...kama atatoa...
desperadoo ni noma isee, big up kwa shyrose banji yeye anaingiaga mikataba ya kugegedana tu na si vinginevyo.
lara 1 tuchukue lipi?
Jana ulikuwa na story tofauti kuhusu hili sakata na ukawa unaaminisha unawafahamu hawa watu mwanzo mwisho , leo story nyinginee....... au ndiyo maneno ya kuunga unga mtaani?
Besti!!!lara 1 tuchukue lipi?
Jana ulikuwa na story tofauti kuhusu hili sakata na ukawa unaaminisha unawafahamu hawa watu mwanzo mwisho , leo story nyinginee....... au ndiyo maneno ya kuunga unga mtaani?
Matola hivi jana na leo umekula kweli ww?
Hamjakutana na wanawake desperate na ndoa....ukute maandalizi yote hayo jamaa hajawahi hata ku propose...kwa nini agharimie hivyo na kutangaza kupita maelezo...usicheze na desperadooooo
Tusimuhukumu bure mzee wa kuchepuka 'mpaka atoke tamko'...kama atatoa...
mimi ndiyo maana jukwaa la celebrite siingiagi kwakweli........ ila sasa ndiyo naona likatupiwa mmu , thanks to mods wameihamisha.Hivi wewe humjui huyo?
We tulia tuangalie movie.
Besti!!!
Mpaka hili lipite mbona tutasikia mengi sana???