Mbunge Mh. Profesa Kapuya akicheza dansi kwa mtindo wa 'pekecha-pekecha' wa bendi ya AKUDA IMPACTO ndani ya ukumbi wa Mango Gardens jijini Dar-es-Salaam wikiendi iliyopita(picha hisani ya Globalpublishers)
Ni matumaini kuwa mheshimiwa Prof. Kapuya pia ataonyesha juhudi za dhati kama vijana kwa kupinga malipo kwa DOWANS wakati wa kikao cha bunge Februari 2011 mjini Dodoma.
By the way nasikia yeye ndio mmiliki wa hiyo bendi
Ni kweli mkuu, yeye ndiye mmiliki na AKUDO ni kifupisho cha herufi za mwanzo za majina ya watoto wake:
Athuman
Kulwa
Doto
Mbunge Mh. Profesa Kapuya akicheza dansi kwa mtindo wa 'pekecha-pekecha' wa bendi ya AKUDA IMPACTO ndani ya ukumbi wa Mango Gardens jijini Dar-es-Salaam wikiendi iliyopita(picha hisani ya Globalpublishers)
Ni matumaini kuwa mheshimiwa Prof. Kapuya pia ataonyesha juhudi za dhati kama vijana kwa kupinga malipo kwa DOWANS wakati wa kikao cha bunge Februari 2011 mjini Dodoma.
Ni kweli mkuu, yeye ndiye mmiliki na AKUDO ni kifupisho cha herufi za mwanzo za majina ya watoto wake:
Athuman
Kulwa
Doto
Mbunge Mh. Profesa Kapuya akicheza dansi kwa mtindo wa 'pekecha-pekecha' wa bendi ya AKUDO IMPACTO ndani ya ukumbi wa Mango Gardens jijini Dar-es-Salaam wikiendi iliyopita(picha hisani ya Globalpublishers)
Ni matumaini kuwa mheshimiwa Prof. Kapuya pia ataonyesha juhudi za dhati kama vijana kwa kupinga malipo kwa DOWANS wakati wa kikao cha bunge Februari 2011 mjini Dodoma.
Mmmh! hii kali, ha ha ha! hawa watu wa udaku nao, zee la watu linachezeshwa pekechapekecha wao na vikamera vyao!