Pre GE2025 Mbunge wa Covid 19 Jessica Kishoa: Wanawake wote wa nchi hii tunamuunga mkono Rais. Vyombo vya ulinzi visicheke na yeyote atakayevuruga amani

Pre GE2025 Mbunge wa Covid 19 Jessica Kishoa: Wanawake wote wa nchi hii tunamuunga mkono Rais. Vyombo vya ulinzi visicheke na yeyote atakayevuruga amani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Jesca Kishoa, amesema anaunga mkono uteuzi wa Rais Samia Suluhu kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), akibainisha kuwa uongozi wake umeihakikishia nchi usalama na amani.

Aidha, ameahidi kushirikiana naye ili kuhakikisha anapata ushindi katika uchaguzi mkuu ujao.Akichangia azimio la kumpongeza Rais Samia kwa kufanikisha Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika, leo Januari 31, 2025, Bungeni jijini Dodoma.

Kishoa amesisitiza kuwa vyombo vya ulinzi havipaswi kulegeza msimamo dhidi ya yeyote anayehatarisha amani ya nchi.


 
Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Jesca Kishoa, amesema anaunga mkono uteuzi wa Rais Samia Suluhu kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), akibainisha kuwa uongozi wake umeihakikishia nchi usalama na amani.

Aidha, ameahidi kushirikiana naye ili kuhakikisha anapata ushindi katika uchaguzi mkuu ujao.Akichangia azimio la kumpongeza Rais Samia kwa kufanikisha Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika, leo Januari 31, 2025, Bungeni jijini Dodoma.

Kishoa amesisitiza kuwa vyombo vya ulinzi havipaswi kulegeza msimamo dhidi ya yeyote anayehatarisha amani ya nchi.


Ma+vi
 
Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Jesca Kishoa, amesema anaunga mkono uteuzi wa Rais Samia Suluhu kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), akibainisha kuwa uongozi wake umeihakikishia nchi usalama na amani.

Aidha, ameahidi kushirikiana naye ili kuhakikisha anapata ushindi katika uchaguzi mkuu ujao.Akichangia azimio la kumpongeza Rais Samia kwa kufanikisha Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika, leo Januari 31, 2025, Bungeni jijini Dodoma.

Kishoa amesisitiza kuwa vyombo vya ulinzi havipaswi kulegeza msimamo dhidi ya yeyote anayehatarisha amani ya nchi.


Huyu alikua mke wake kafulila,yeye na mumewe wa zamani wameamua kua machawa,......
 
Huyo mbunge ana-comment u-tumbo wakati hajala mboga mboga. Sisi tuliokula mboga mboga tuna-disconnect.

We are eating that frog.
 
Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Jesca Kishoa, amesema anaunga mkono uteuzi wa Rais Samia Suluhu kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), akibainisha kuwa uongozi wake umeihakikishia nchi usalama na amani.

Aidha, ameahidi kushirikiana naye ili kuhakikisha anapata ushindi katika uchaguzi mkuu ujao.Akichangia azimio la kumpongeza Rais Samia kwa kufanikisha Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika, leo Januari 31, 2025, Bungeni jijini Dodoma.

Kishoa amesisitiza kuwa vyombo vya ulinzi havipaswi kulegeza msimamo dhidi ya yeyote anayehatarisha amani ya nchi.


Ubunge wa kupewa tabu sana... hapa anatetea ugali kwa kujibembeleza kwa bi kizimkazi
 
Hizi hoja walipaswa kuambiana kwenye mkutano wao siku wanamsimika kama Mkuki na sio bungeni.
 
Back
Top Bottom