Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ''vitu'' maalum siyo viti.Naye eti Mbunge!!! Viti maalum wanamuwakilisha lakini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu alikua mke wake kafulila,yeye na mumewe wa zamani wameamua kua machawa,......
Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Jesca Kishoa, amesema anaunga mkono uteuzi wa Rais Samia Suluhu kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), akibainisha kuwa uongozi wake umeihakikishia nchi usalama na amani.
Aidha, ameahidi kushirikiana naye ili kuhakikisha anapata ushindi katika uchaguzi mkuu ujao.Akichangia azimio la kumpongeza Rais Samia kwa kufanikisha Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika, leo Januari 31, 2025, Bungeni jijini Dodoma.
Kishoa amesisitiza kuwa vyombo vya ulinzi havipaswi kulegeza msimamo dhidi ya yeyote anayehatarisha amani ya nchi.
Hii ndio salama pekee ya covod19 wote. Ifahamike hawana nafasi yoyote ndani ya cdm ya sasa, hivyo namna pekee ni kutumia lugha itakayowapa maisha ndani ya ccm.Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Jesca Kishoa, amesema anaunga mkono uteuzi wa Rais Samia Suluhu kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), akibainisha kuwa uongozi wake umeihakikishia nchi usalama na amani.
Aidha, ameahidi kushirikiana naye ili kuhakikisha anapata ushindi katika uchaguzi mkuu ujao.Akichangia azimio la kumpongeza Rais Samia kwa kufanikisha Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika, leo Januari 31, 2025, Bungeni jijini Dodoma.
Kishoa amesisitiza kuwa vyombo vya ulinzi havipaswi kulegeza msimamo dhidi ya yeyote anayehatarisha amani ya nchi.
Nikishaona mtu anaongea kwa kuiga steps za mtu mwingine namuona mjinga sana. Naona anaongea na kuiga uongeaji wa Mdee, inaonekana Mdee ndio mjanja wake.Kirusi kingine hicho. Kilienda bungeni kwa kutumia wizi leo kimeshiba kinajamba hovyo.
Ukishashiba ,lazima upate njaa je unapataje,hilo ni swali la kuuliza.Ni nani aliyemchagua kuwa msemaji wa Wanawake wote?
Yaan Kwa ajili ya masilahi yake Binafsi, anavitaka Vyombo vya Dola viendelee kuwabeba kama vilivyowabebaMbunge wa Viti Maalum, Mhe. Jesca Kishoa, amesema anaunga mkono uteuzi wa Rais Samia Suluhu kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), akibainisha kuwa uongozi wake umeihakikishia nchi usalama na amani.
Aidha, ameahidi kushirikiana naye ili kuhakikisha anapata ushindi katika uchaguzi mkuu ujao.Akichangia azimio la kumpongeza Rais Samia kwa kufanikisha Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika, leo Januari 31, 2025, Bungeni jijini Dodoma.
Kishoa amesisitiza kuwa vyombo vya ulinzi havipaswi kulegeza msimamo dhidi ya yeyote anayehatarisha amani ya nchi.
Kwenye maji anaelea wakati wengine wanazamaSijaangalia video ila huyu dada sijui maza ni boya sana. Apuuzwe
Ile ni ongea ya CDM, ni kama walifunzwa kuongea hivyoNikishaona mtu anaongea kwa kuiga steps za mtu mwingine namuona mjinga sana. Naona anaongea na kuiga uongeaji wa Mdee, inaonekana Mdee ndio mjanja wake.
Si kweli maana wengine tunawaona wakiongea hutumia asili zao na sio kuiga.Ile ni ongea ya CDM, ni kama walifunzwa kuongea hivyo