Pre GE2025 Mbunge wa Hai asema Wananchi wanasema Rais Samia apitishwe bila kupingwa kama walivyofanya CCM Dodoma

Pre GE2025 Mbunge wa Hai asema Wananchi wanasema Rais Samia apitishwe bila kupingwa kama walivyofanya CCM Dodoma

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Wananchi tumekubaliana lini Rais Samia kupita bila kupingwa?

Hivi huyu Mbunge anawazungumzia wananchi gani? Au anaongea kwa niaba ya vikao vyao vya kificho?

Tena aelewe, si kila anayeshangilia kwenye ukumbi wa chama ni sauti ya Watanzania wote. Kama ana ndoto za kufundisha historia ya CCM, basi aombe ualimu, siyo kutufanya sisi wajinga wa siasa!

Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafue wakati akizungumza Bungeni leo Februari 11 amedai kuwa Wananchi wanasema kile kilichofanyika Dodoma kwenye Mkutano Mkuu wa CCM, Wajumbe kumpitisha Rais Samia bila kufuata Katiba yao eti amezunguka karibu Tanzania yote na Wananchi wanataka kukukutana kama walivyofanya Dodoma ili kumpitasha Rais Samia bila kupingwa.



Soma, Pia
 
Jamaa wanahofu sana ya kupitishwa kugombea, sahizi Kila Mmoja anafukuzana na Mwenzake kusifia.

MPINA anaonekana Mchawi, ila Siku Moja MPINA atakua MTU Mkubwa sana hapa Nchini na kupitia yeye, Hawa machawa hawatakuwepo Tena.
 
Watu wanasema precedent hazifanyi kazi, angalia alichoanzisha magufuli. Kukubali kusifiwa vile kumefanya na aliyemfuata asione vibaya kusifiwa. Tunahitaji mtu wa kureset system.
 
Wakuu

Wananchi tumekubaliana lini Rais Samia kupita bila kupingwa?

Hivi huyu Mbunge anawazungumzia wananchi gani? Au anaongea kwa niaba ya vikao vyao vya kificho?

Tena aelewe, si kila anayeshangilia kwenye ukumbi wa chama ni sauti ya Watanzania wote. Kama ana ndoto za kufundisha historia ya CCM, basi aombe ualimu, siyo kutufanya sisi wajinga wa siasa!

Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafue wakati akizungumza Bungeni leo Februari 11 amedai kuwa Wananchi wanasema kile kilichofanyika Dodoma kwenye Mkutano Mkuu wa CCM, Wajumbe kumpitisha Rais Samia bila kufuata Katiba yao eti amezunguka karibu Tanzania yote na Wananchi wanataka kukukutana kama walivyofanya Dodoma ili kumpitasha Rais Samia bila kupingwa.


Mh. Shaban M. anahitaji Jimbo lako! Hauko salama brother!!
 

Attachments

  • VID-20250210-WA0065.mp4
    10.8 MB
  • 5959259-245a16d1a646e1c5265c1678e4e73a60.mp4
    1.4 MB
  • 20250107_214111.jpg
    20250107_214111.jpg
    139 KB · Views: 2
  • IMG-20250209-WA0004.jpg
    IMG-20250209-WA0004.jpg
    183.7 KB · Views: 2
Wakuu

Wananchi tumekubaliana lini Rais Samia kupita bila kupingwa?

Hivi huyu Mbunge anawazungumzia wananchi gani? Au anaongea kwa niaba ya vikao vyao vya kificho?

Tena aelewe, si kila anayeshangilia kwenye ukumbi wa chama ni sauti ya Watanzania wote. Kama ana ndoto za kufundisha historia ya CCM, basi aombe ualimu, siyo kutufanya sisi wajinga wa siasa!

Mbunge wa Jimbo la Hai Saashisha Mafue wakati akizungumza Bungeni leo Februari 11 amedai kuwa Wananchi wanasema kile kilichofanyika Dodoma kwenye Mkutano Mkuu wa CCM, Wajumbe kumpitisha Rais Samia bila kufuata Katiba yao eti amezunguka karibu Tanzania yote na Wananchi wanataka kukukutana kama walivyofanya Dodoma ili kumpitasha Rais Samia bila kupingwa.

Soma, Pia
Hiyo tabia ipigwe vita, ni agenda ya kupenyeza mambo ya hovyo
 
Back
Top Bottom