Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Mhe. Ramadhan Suleiman Rmadhani, Mbunge wa Jimbo la Chakechake
"Hadi sasa hakuna ubishi kwamba yapo maamuzi ya Mahakama ya Ushindani wa Kibiashara (FCT) kwenye kuzui mchakato wa Twiga Cement na Tanga Cement kuungana, sasa unapata wapi nguvu ya kupindua maamuzi ya mahakama?
Maamuzi ya mahakama yanapingwa kwa vitu viwili tu, aidha kwa kukata rufaa mahakama ya juu au kuomba mahakama ipitie maamuzi yake kama ilikosea au la, lakini haya yote hayakufanyika" Ramadhan Suleiman Ramadhan, Mbunge wa Jimbo la ChakeChake.
"Hadi sasa hakuna ubishi kwamba yapo maamuzi ya Mahakama ya Ushindani wa Kibiashara (FCT) kwenye kuzui mchakato wa Twiga Cement na Tanga Cement kuungana, sasa unapata wapi nguvu ya kupindua maamuzi ya mahakama?
Maamuzi ya mahakama yanapingwa kwa vitu viwili tu, aidha kwa kukata rufaa mahakama ya juu au kuomba mahakama ipitie maamuzi yake kama ilikosea au la, lakini haya yote hayakufanyika" Ramadhan Suleiman Ramadhan, Mbunge wa Jimbo la ChakeChake.