njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Mlipokuwa mnaambiwa kwamba wapinzani wanachelewesha maendeleo haikuwa masihara, yale yalikuwa ni magunzi katikati ya betri za tochi.
Huko jimbo la Kalenga mbunge Kiswaga ametimiza ahadi yake ya kutoa Dustbins mbili (2) kwenye zahanati na baada ya tukio hilo la kihistoria, picha ya pamoja ilipigwa huku mwananchi mmoja kwa furaha akitoa ishara ya dole gumba akimaanisha mambo ni fayaaaa.
Hongera sana Mbunge. Endelea kuchapa kazi babaaa!
Tunatarajia kuendelea kuona press releases nyingi za CCM kama hizi wakati ukiwa unaendelea kutumiza ahadi zako, hao ushamalizana nao hawakudai kura zao hazikupotea bure. On to the next one, please!
Huko jimbo la Kalenga mbunge Kiswaga ametimiza ahadi yake ya kutoa Dustbins mbili (2) kwenye zahanati na baada ya tukio hilo la kihistoria, picha ya pamoja ilipigwa huku mwananchi mmoja kwa furaha akitoa ishara ya dole gumba akimaanisha mambo ni fayaaaa.
Hongera sana Mbunge. Endelea kuchapa kazi babaaa!
Tunatarajia kuendelea kuona press releases nyingi za CCM kama hizi wakati ukiwa unaendelea kutumiza ahadi zako, hao ushamalizana nao hawakudai kura zao hazikupotea bure. On to the next one, please!