Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Jackson Kiswaga atimiza ahadi ya kampeni kwa kukabidhi "dustbin" mbili Zahanati ya Kijiji cha Kaning'ombe

Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Jackson Kiswaga atimiza ahadi ya kampeni kwa kukabidhi "dustbin" mbili Zahanati ya Kijiji cha Kaning'ombe

Hicho kijiji kipo mkoa gani maana huwa tunaambiwa sisi watu wa pwani wavivu hatupendi maendeleo wakati watu wanaweka mpaka dole gumba kwa kupewa dustbin
 
Mlipokuwa mnaambiwa kwamba wapinzani wanachelewesha maendeleo haikuwa masihara, yale yalikuwa ni magunzi katikati ya betri za tochi.

Huko jimbo la Kalenga mbunge Kiswaga ametimiza ahadi yake ya kutoa Dustbins mbili (2) kwenye zahanati na baada ya tukio hilo la kihistoria, picha ya pamoja ilipigwa huku mwananchi mmoja kwa furaha akitoa ishara ya dole gumba akimaanisha mambo ni fayaaaa.

Hongera sana Mbunge. Endelea kuchapa kazi babaaa!

Tunatarajia kuendelea kuona press releases nyingi za CCM kama hizi wakati ukiwa unaendelea kutumiza ahadi zako, hao ushamalizana nao hawakudai kura zao hazikupotea bure. On to the next one, please!

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Maendeleo ya dustbin [emoji1005] [emoji706] [emoji1005] [emoji706] [emoji1005] [emoji706] kwa ustawi wa Tanzania na watu wake
 
we kunguni umesoma hiyo press release? Ccm iringa wamesema katoa dust bins 2 kutimiza ahadi ya campaign, jinga .
Akili yako ndogo! Hata kama ni dustbin 20, bado ni akili ya mdudu kuahidiwa kitu kama hicho na Mbunge. Huyo mbunge mwenyewe atakuwa wa kupiga makofi tu!
 
Kama ndiyo ahadi aliyotoa na akapewa kura kwa ahadi hiyo, basi, sasa ametekeleza 100% (kama wananchi hawakujua dustbin ni nini then ni ujinga wao) Ila kama walijua (na labda lilikuwa ndilo hitaji lao) then Very good Mbunge!
 
Mlipokuwa mnaambiwa kwamba wapinzani wanachelewesha maendeleo haikuwa masihara, yale yalikuwa ni magunzi katikati ya betri za tochi.

Huko jimbo la Kalenga mbunge Kiswaga ametimiza ahadi yake ya kutoa Dustbins mbili (2) kwenye zahanati na baada ya tukio hilo la kihistoria, picha ya pamoja ilipigwa huku mwananchi mmoja kwa furaha akitoa ishara ya dole gumba akimaanisha mambo ni fayaaaa.

Hongera sana Mbunge. Endelea kuchapa kazi babaaa!

Tunatarajia kuendelea kuona press releases nyingi za CCM kama hizi wakati ukiwa unaendelea kutumiza ahadi zako, hao ushamalizana nao hawakudai kura zao hazikupotea bure. On to the next one, please!

Kweli CCM wanajua kujitoa ufahamu,yaani macho makavu kabisaaaaa na kuita waandishi wa habari kukabidhi dust bin mbili? Kudadadeq walahi!!!!!
 
Tunasubiri ahadi ya Gwajiiiiiimaaaa kupeleka maelfu ya vijana Marekani
Awamu ya uongo na ulaghai
 
Mlipokuwa mnaambiwa kwamba wapinzani wanachelewesha maendeleo haikuwa masihara, yale yalikuwa ni magunzi katikati ya betri za tochi.

Huko jimbo la Kalenga mbunge Kiswaga ametimiza ahadi yake ya kutoa Dustbins mbili (2) kwenye zahanati na baada ya tukio hilo la kihistoria, picha ya pamoja ilipigwa huku mwananchi mmoja kwa furaha akitoa ishara ya dole gumba akimaanisha mambo ni fayaaaa.

Hongera sana Mbunge. Endelea kuchapa kazi babaaa!

Tunatarajia kuendelea kuona press releases nyingi za CCM kama hizi wakati ukiwa unaendelea kutumiza ahadi zako, hao ushamalizana nao hawakudai kura zao hazikupotea bure. On to the next one, please!

hahaha tz bana
 
Back
Top Bottom