Huyu jamaa inawezekana ni bubu,hajui kuongea, anadai huwa anachangia kwa maandishi. Hata kwenye kampeni zake alikuwa anasema "nyie nichagueni tu,kila kitu ntamaliza. Kwanza c mbunge wa kilombero,ni mbunge wa ccm. Cc tulimchagua dada Regia Mtema. Kuna ushahidi kuwa hata mademu huwa anatongozewa. Huyu bwana ndo mbunge mzigo kuliko wote bumgeni. Afadhali hata john komba