Bora nife kuliko kuwa mshabiki na mwanachama wa ccm.Kama huyo ndiye mwakilishi wa wananchi,hali ikoje kwa wanachama na wafuasi wa hicho "CHAMA CHA MWENDOKASI"(CCM)?
Badala ya kujenga mnara/uwanja ambao watakuwa wakiuona watu wa huko ulipojengwa,nafikiri waweke hizo picha katika noti(fedha)zetu ili kila mmojawetu azione,katika moja ya noti hizo wasisahau kuandika nukuu ya mh.kuwa Saddam Hussein ni Rais wa Kuwait.
Hapa ndipo ccm walipotufikisha,watu wanaongea upuuzi hadi kwenye mihimili ya dola,huu ni ujinga wa kiwango cha PhD na katika dunia hii unapatikana hapa Tanzania pekee.