Mbunge wa Karagwe aomba Rais Magufuli alipopigia push up ujengwe uwanja wa kumbukumbu!

Mbunge wa Karagwe aomba Rais Magufuli alipopigia push up ujengwe uwanja wa kumbukumbu!

Katika hali isiyo ya kawaida mbunge wa Karagwe (CCM) Mh Inocent Bashungwa ameomba uwanja wa Kayanga mjini Karagwe ujengwe kama kumbukumbu ya kitendo cha mgombea Urais kupiga push up jukwaani

Akijibu ombi hilo waziri anayehusika na Habari, michezo, utamaduni na sanaa Nape amesema mchakato wa kuenzi kumbukumbu hiyo unaweza kuanza maana kitendo kile kilionyesha ni jinsi gani mgombea wao angetengeneza serikali ya kazi tu na kwamba mgombe mwingine ingekuwa kazi kwake kufanya hivyo.
Mkuu ungetuwekea na ka VIDEO KIDOGO...maana nyie kwa MAJUNGU HAMJAMBO
 
Kwa hiyo Geita Stand nako kujengwe uwanja wa kumbukumbu ya mzee.

Ndiyo democracy,kuwa tayari kusikia kile unachokiona ni upuuzi.
 
Nashauri itenezwe sanamu yake ili hata vizazi vije vione rais wao alivyoomba kura mwaka 2015
 
Safi sana huo uwanja lazma ujengwe, sasa nyie si mulikua mnazungusha mikono na viuno
 
Katika hali isiyo ya kawaida mbunge wa Karagwe (CCM) Mh Inocent Bashungwa ameomba uwanja wa Kayanga mjini Karagwe ujengwe kama kumbukumbu ya kitendo cha mgombea Urais kupiga push up jukwaani

Akijibu ombi hilo waziri anayehusika na Habari, michezo, utamaduni na sanaa Nape amesema mchakato wa kuenzi kumbukumbu hiyo unaweza kuanza maana kitendo kile kilionyesha ni jinsi gani mgombea wao angetengeneza serikali ya kazi tu na kwamba mgombe mwingine ingekuwa kazi kwake kufanya hivyo.

Dah kweli ndiyo maana Kagera ni moja ya mikoa masikini kabisa Tanzania. Mkoa umetoka kuwa wenye kuzalisha wasomi wa hali juu mpaka kuwa mkoa wa kuzalisha wajinga na masikini. Haishangazi ndiyo maana wamemchagua huyu kuwa mbunge wao. Wazee wao watakuwa wanashtuka ndani ya makaburi yao wakisikia ujinga aliozungumza huyu mbunge
 
Sanamu ya diamond,sanamu ya push up waongeze na sanamu ya makonda akitafuta sukari hewa
Hao ni wabunge toka Cha Cha Mwendokasi, Chama Cha Majipu, Chama Cha Mizigo
 
Back
Top Bottom